Tusinunue vitu Used jamani

Ss mkuu vitu vipya cku hz n under 17 ss itakuwajeee 😂😂😂.

Hawa under 30 kilometer zishasomaa mpk ukiingiza GIA pande zt hmna ktu😂
 
Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.

Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.

2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.

3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.

WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Bajeti yako inaruhusu nunua Mpya, Bajeti yako hairuhusu nunua used, kitakufaa mpaka pale ukiweza kununua Kipya.
 
Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.

Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.

2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.

3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.

WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Umeandika hii ppst ukiwa kwenye gari mpya gani? Au unategemea kupanda gari mpya gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom