Kazi kweli kweli mkuuNa wanaume wenyewe ni wale vijana waoga waliokosa uthubutu wa kiume ambao wamekariri kuwa uanaume/ urijali ni kuwika tu asubuhi!
Sawa mkuuHapana! sio vitu vya Dukani Mkuu.
Nazungumzia vitu tunavyolipia kwenye kaya fulani ili tuondoke na mali yao waliyoikuza.
Bajeti yako inaruhusu nunua Mpya, Bajeti yako hairuhusu nunua used, kitakufaa mpaka pale ukiweza kununua Kipya.Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.
Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.
2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.
3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.
WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
Umeandika hii ppst ukiwa kwenye gari mpya gani? Au unategemea kupanda gari mpya gani?Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.
Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.
2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza kukitumia kabla yako amekidharau hicho kitu ndio maana amekiacha.
3) Mtu aliekuachia kitu Used tambua kuwa ameshaona kitu chengine bora zaidi kuliko used anachokuachia wewe.
WANAUME WENZANGU NAWASHAURI TUTOE PESA ZETU KULIPIA KITU NEW NA SIO USED MAANA KITU USED NI KITU KIBOVU NA HAKINA THAMANI KULINGANISHA NA KIPYA.
barafu zakazi gani?au wewe muuza ukwajuAcha kutupotosha Mkuu.
Friji za mtumba zinagandisha barafu haraka sana halafu zinadumu miaka 800
rechooo ebhanaee unajina zuri sanaaaaUsed ni rahisi sana
Maanina nimesoma comments ndio nishaachwa Hahahaha!……used kiasi hata bikra ya kinyeo hakunaUmeandika hii ppst ukiwa kwenye gari mpya gani? Au unategemea kupanda gari mpya gani?
mjeda hajambo?Smart911 love mna kikao chenu njoo uchukue mwongozo hukuuu
mjeda hajamboSmart911 love mna kikao chenu njoo uchukue mwongozo hukuuu
Aliyelitumia hilo friji likiwa jipya hakugundua hivyo? Au itakuwa alipata jipya bora zaidiAcha kutupotosha Mkuu.
Friji za mtumba zinagandisha barafu haraka sana halafu zinadumu miaka 800
Ni kweli Nauza Lamba lamba mkuu.barafu zakazi gani?au wewe muuza ukwaju
basi mrembo i love you.Ni kweli Nauza Lamba lamba mkuu.
Aliyelitumia hilo friji likiwa jipya hakugundua hivyo? Au itakuwa alipata jipya bora zaidi
Mambo mengi Mkuu.Umeandika hii ppst ukiwa kwenye gari mpya gani? Au unategemea kupanda gari mpya gani?
😉😉😉Mambo mengi Mkuu.
Ukikua utaelewa!
😀Una uthubutu Mkuu, utafika mbali!basi mrembo i love you.
fanya kweli basi😀Una uthubutu Mkuu, utafika mbali!
Niambie cha kufanya nitafanya.fanya kweli basi