pakamwam
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 516
- 651
Heshima kwenu wakuu
Leo nimependa tushauriane kwenye mitazamo hii
Nianze tu kusema naamini kuoa/kuolewa bila kuweka misingi imara ya kuhakikisha maisha ya wawili au watatu yaani familia yanasonga ni sawa na kutafuta kifo au kuua
Ninaamini pamoja na ahadi zote mnazoweza kupeana na hasa mwanamke lazima tukumbuke hawa viumbe hawajaumbiwa shida.
Hakuna mwanamke anayependa kung'ang'ania mwendokasi maisha yake yote. Hakuna mwanamke anayependa kukaa na wakwe au kufia kwenye nyumba za wakwe, hakuna mwanamke anayependa kuishi bila kuwa na mji wake.
Tofauti na mafunzo mengi yanavyosema oa kupata ni majaliwa, mifano toka kwa jamaa wengi ukioa/kuolewa hujajipanga kimaishi, itakuchukua muda sana kufikia malengo na mara nyingine unaweza kupotea kabisa ndio maana nasema kama unafikiri elimu itakutoa kimaisha basi malizia elimu yako na pata chanzo ya hela ndio oa/kuolewa.
Kama ni biashara basi isimamishe vizuri na ndio oa/kuolewa na kama namalengo ya kujenga basi nunua kiwanja ndio anza hizo mishe
Kwa lolote lite mimi naamini, mipango yako ni rahisi kutimiza ukiwa peke yako kuliko mkiwa wawili.
Wenzangu mnalitazamaje hili?
Leo nimependa tushauriane kwenye mitazamo hii
Nianze tu kusema naamini kuoa/kuolewa bila kuweka misingi imara ya kuhakikisha maisha ya wawili au watatu yaani familia yanasonga ni sawa na kutafuta kifo au kuua
Ninaamini pamoja na ahadi zote mnazoweza kupeana na hasa mwanamke lazima tukumbuke hawa viumbe hawajaumbiwa shida.
Hakuna mwanamke anayependa kung'ang'ania mwendokasi maisha yake yote. Hakuna mwanamke anayependa kukaa na wakwe au kufia kwenye nyumba za wakwe, hakuna mwanamke anayependa kuishi bila kuwa na mji wake.
Tofauti na mafunzo mengi yanavyosema oa kupata ni majaliwa, mifano toka kwa jamaa wengi ukioa/kuolewa hujajipanga kimaishi, itakuchukua muda sana kufikia malengo na mara nyingine unaweza kupotea kabisa ndio maana nasema kama unafikiri elimu itakutoa kimaisha basi malizia elimu yako na pata chanzo ya hela ndio oa/kuolewa.
Kama ni biashara basi isimamishe vizuri na ndio oa/kuolewa na kama namalengo ya kujenga basi nunua kiwanja ndio anza hizo mishe
Kwa lolote lite mimi naamini, mipango yako ni rahisi kutimiza ukiwa peke yako kuliko mkiwa wawili.
Wenzangu mnalitazamaje hili?