pakamwam
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 516
- 651
- Thread starter
- #21
umena na heshima kwako mkuuTafuta chapaa kwanza bro,weka uchumi vzr ndio uoe,tena oa mwenye akili,hata kama hana ajira,awe na ujasiriamali ndani yake,awe tayari kuchakalika na kuongeza kipato cha familia,
Chonde chonde mdogo wangu,usioe wale wanaoamini Kazi ya kutafuta ni ya Baba tu,yeye anaweka miguu juu,hata ushauri wa jinsi ya kupata pesa zaidi,hakupi!
Oa mwanamke ambaye yupo tayari 'to get dirty" ,katika kusaka pesa,ili maisha ya familia yawe bora,ambaye anawiwa,ana kiu ya kuweka uchumi wa familia vzr.Usiwe na haraka tafuta taratiiiibu.ukimpata huyo,umepata dhahabu.
Kinyume chake,utajuta kuzaliwa.I speak from experience !!!
Sent using Jamii Forums mobile app