Tusaidiane kuhusu mapenzi na chuki kwa Kikwete na CCM yake

Father of All

JF-Expert Member
Feb 26, 2012
6,376
6,720
wtcoj.jpg


umekuwa na hisia hata minyukano baina ya wapenzi na wapinzani wa Kikwete na CCM yake. Wapinzani wanajitahidi kumshauri huku wapenzi wake wakijitahidi kuonyesha kuwa kufanya hivyo ni kumchukia huku wapinzani wakisema ni kumpenda. Je wewe kama mwana JF unalionaje hili?

Mfano, Kikwete ameshauriwa na wapinzani aache kukwepa matatizo na kukimbilia nje huku mashabiki zake wakisema safari zake za kuombaomba ni neema kwa taifa. Kikwete ameshauriwa kuachana na style yake ya kutawala kwa kutumia autopilot huku watu wake wakisema anachofanya ni uungwana. Kikwete ameshauriwa abadili kauli mbinu yake ya maisha bora kwa watu ambayo yametafsiriwa na wapinzani kama maisha bora kwa wote walio wake na chama chake.

Kikwete ameshauriwa aachane na mitandao ya kifisadi na kuwahudumia wananchi. Wapinzani wake wanasema muda unamwacha mkono.

Je wewe unasemaje? Ni mapenzi au chuki hata umbea au uzalendo?
 
wtcoj.jpg


umekuwa na hisia hata minyukano baina ya wapenzi na wapinzani wa Kikwete na CCM yake. Wapinzani wanajitahidi kumshauri huku wapenzi wake wakijitahidi kuonyesha kuwa kufanya hivyo ni kumchukia huku wapinzani wakisema ni kumpenda. Je wewe kama mwana JF unalionaje hili?

Mfano, Kikwete ameshauriwa na wapinzani aache kukwepa matatizo na kukimbilia nje huku mashabiki zake wakisema safari zake za kuombaomba ni neema kwa taifa. Kikwete ameshauriwa kuachana na style yake ya kutawala kwa kutumia autopilot huku watu wake wakisema anachofanya ni uungwana. Kikwete ameshauriwa abadili kauli mbinu yake ya maisha bora kwa watu ambayo yametafsiriwa na wapinzani kama maisha bora kwa wote walio wake na chama chake.

Kikwete ameshauriwa aachane na mitandao ya kifisadi na kuwahudumia wananchi. Wapinzani wake wanasema muda unamwacha mkono.

Je wewe unasemaje? Ni mapenzi au chuki hata umbea au uzalendo?

Hakuna Rais anaweza kufuata kila neno la mwanasiasa. Hakuna Mwanasiasa yeyote duniani anayemtakia mema mpinzani wake, hivyo atajitahidi kupiga propaganga ili aliyeko madarakani aonekane hafai. Njia pekee ya kuwakomesha wanasiasa wa aina hiyo kwa kiongozi kutokuwa na papara ya kuharakisha kuongelea jambo la wanasiasa, na hili ndilo analolifanya Rais KIKWETE. Maneno kama "RAIS ANAKIMBIA MATATIZO", RAIS ANATAWALA KWA STYLE YA..", RAIS ANA MITANDAO YA KIFISADI" ni maneno mepesi sana tena yanayotolewa na wanasiasa ambao hawajakomaa kisiasa na wanaosukumwa kusema hivyo na uwezo mdogo wa wananchi kuchambua mchele na pumba za wanasiasa.
 
Sawa nangatuka ni kweli kabisa unalosema. Je na hii hali mbaya ya maisha iliyopo mitaani unailinganishaje na hii mada. Hakuna ajira kwa vijana, ufisadi uliokithiri hata matrilioni yamefichwa nje ya nchi, deni kubwa la taifa linalokuwa siku hadi siku, wanyama wanatoroshwa kila siku, ofisi za serikali zimekuwa ni nyumba za ufisadi. Tuishie tu na rushwa ya waziwazi hata kwenye uchaguzi wa CCM imeonekana wazi na hakuna hata aliyekemea. Na haya je ni maneno au wamesababisha wapinzani?
 
mimi sioni mapenzi au chuki zinachochote kwake...kwa sababu ndogo tu, hana uwezo wa kazi aliyomo. umpende umchukie havisaidii chochote. labda umsaidie kwa kumtoa umpumzishe na zigo asiloliweza
 
Hakuna Rais anaweza kufuata kila neno la mwanasiasa. Hakuna Mwanasiasa yeyote duniani anayemtakia mema mpinzani wake, hivyo atajitahidi kupiga propaganga ili aliyeko madarakani aonekane hafai. Njia pekee ya kuwakomesha wanasiasa wa aina hiyo kwa kiongozi kutokuwa na papara ya kuharakisha kuongelea jambo la wanasiasa, na hili ndilo analolifanya Rais KIKWETE. Maneno kama "RAIS ANAKIMBIA MATATIZO", RAIS ANATAWALA KWA STYLE YA..", RAIS ANA MITANDAO YA KIFISADI" ni maneno mepesi sana tena yanayotolewa na wanasiasa ambao hawajakomaa kisiasa na wanaosukumwa kusema hivyo na uwezo mdogo wa wananchi kuchambua mchele na pumba za wanasiasa.
nakubaliana na wewe asilimia fulani,swali unafikiri anaongoza vizuri au unaionaje hali ya nchi na wananchi kiuchumi kabla yake?
 
Sawa nangatuka ni kweli kabisa unalosema. Je na hii hali mbaya ya maisha iliyopo mitaani unailinganishaje na hii mada. Hakuna ajira kwa vijana, ufisadi uliokithiri hata matrilioni yamefichwa nje ya nchi, deni kubwa la taifa linalokuwa siku hadi siku, wanyama wanatoroshwa kila siku, ofisi za serikali zimekuwa ni nyumba za ufisadi. Tuishie tu na rushwa ya waziwazi hata kwenye uchaguzi wa CCM imeonekana wazi na hakuna hata aliyekemea. Na haya je ni maneno au wamesababisha wapinzani?
kaka sio kila jicho lina lensi inayoona.
 
Hakuna Rais anaweza kufuata kila neno la mwanasiasa. Hakuna Mwanasiasa yeyote duniani anayemtakia mema mpinzani wake, hivyo atajitahidi kupiga propaganga ili aliyeko madarakani aonekane hafai. Njia pekee ya kuwakomesha wanasiasa wa aina hiyo kwa kiongozi kutokuwa na papara ya kuharakisha kuongelea jambo la wanasiasa, na hili ndilo analolifanya Rais KIKWETE. Maneno kama "RAIS ANAKIMBIA MATATIZO", RAIS ANATAWALA KWA STYLE YA..", RAIS ANA MITANDAO YA KIFISADI" ni maneno mepesi sana tena yanayotolewa na wanasiasa ambao hawajakomaa kisiasa na wanaosukumwa kusema hivyo na uwezo mdogo wa wananchi kuchambua mchele na pumba za wanasiasa.

you are right 100%. kwa case ya rais wetu matatizo yapo hayapo? hata adui yako anaweza kukuonya, japo angefurahia anguko lako-sembuse mwanasiasa mwenzio. kama wanakuambia ukweli na wewe hufuati tu kwa sababu ni wapinzani wako, yakikupata utasemaje? wamekuloga au? usipuuzie au kuchelewa kutake action ya jambo fulani eti kwa kuwa aliyesema si mwenzio, sio rafiki au ndugu au mwanachama mwenzio. hata hao wa karibu yako wanaweza kukutosa vilevile, kwani mioyo yao unaiona!
 
Back
Top Bottom