Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
DA, mimi silazimishi ushauriano unaoudhani kama ulivyoandika! I am a true follwer of the principle of consultation katika nyanja zote za maisha. Na hii haimaanishi kuwa siwezi kufanya maamuzi.
Sasa niliona kama umemaanisha uanamme ndo unatumika kuamua kana kwamba lisemwalo na mwanaume ndo ssahihi!
What if in this given scenario, huyo dada yeye ana mbumba? Wakishauriana si wanaweza tu kufikia uamuzi kuwa wafanye harusi ya kifahari?
Otherwise me and you are kinda in the same line!
wakuu nina umri wa miaka 32 male, na mwenzangu ana miaka 27: mwenzangu ni mpare mi mnyakyusa. tulianza mahusiano mwaka 2006; kabla hatujaanza mikakati ya ndoa nikaenda masomoni mwaka 2008. ikawa vigumu kuendelea na mchakato, lakini baada ya kumaliza chuo naona bado hakuna dalili ya kufunga ndoa hivi karibuni kwani mwenzangu anahitaji ndoa ya kifahari wakati mimi uwezo huo sina, inanibidi nifanye kazi sana ili nijiweke fiti kwa hilo. natamani saana kuwa na mke jamani
NISAIDIENI WAKUU UMRI UNAENDA.
@ BHT msome jamaa hapo kwenye red utamwelewa.
siku njema