wakuu nina umri wa miaka 32 male, na mwenzangu ana miaka 27: mwenzangu ni mpare mi mnyakyusa. tulianza mahusiano mwaka 2006; kabla hatujaanza mikakati ya ndoa nikaenda masomoni mwaka 2008. ikawa vigumu kuendelea na mchakato, lakini baada ya kumaliza chuo naona bado hakuna dalili ya kufunga ndoa hivi karibuni kwani mwenzangu anahitaji ndoa ya kifahari wakati mimi uwezo huo sina, inanibidi nifanye kazi sana ili nijiweke fiti kwa hilo. natamani saana kuwa na mke jamani
NISAIDIENI WAKUU UMRI UNAENDA.
NISAIDIENI WAKUU UMRI UNAENDA.