Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Mfungwa mmoja baada ya kutoroka jela,alikuwa akitembea barabarani huku akiwa kavaa uniform za kifungwa.Mara ghafla mbele yake umbali wa mita 200 akaliona gari la polisi likimjia.Uamuzi aliochukua ni kukimbilia upande ule ule linakotokea gari lile gari kwa hatua kama 10 halafu akachepuka porini na kutokomea kusikojulikana. (SWALI);Unafikiri ni kwa nini alikimbilia ule upande linakotokea gari na kuchepuka porini badala ya kulipa mgongo,akimbie kurudi alikotoka halafu ndo achepuke porini?