GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Naona Star TV wamezindua mpango mpya katika Kipindi cha Tuongee Asubuhi, Kwanza Hongereni na pia kazeni uzi na isiwe ni nguvu ya soda.
Nimemsikia Yahya analalamika kuwa account yake ya JF hawezi kuifungua tena, hivi na huku hackers wapo au nia je mkuu invicible?
Tuwape ushauri, mie binafsi nimependa mtindo huu ila nahisi wangebadili na mfumo wa Studio yao ikawa na maandhari mpya.
ADIOS
Nimemsikia Yahya analalamika kuwa account yake ya JF hawezi kuifungua tena, hivi na huku hackers wapo au nia je mkuu invicible?
Tuwape ushauri, mie binafsi nimependa mtindo huu ila nahisi wangebadili na mfumo wa Studio yao ikawa na maandhari mpya.
ADIOS