Mgonasipapune Mgona
Member
- Aug 20, 2012
- 7
- 1
Hakuna asiyejua nini kilitokea huko Igunga kwani pamoja na vurugu nyingine nyingi za hatari,kada wa chama kinachokuja kwa kasi katika siasa za Tanzania aliuwawa.
Pamoja nafuraha ya wapenda haki tusiache kuombea uchaguzi huo kwa imani zetu, hatutaki kuona damu inamwagika tena.Asanteni
Pamoja nafuraha ya wapenda haki tusiache kuombea uchaguzi huo kwa imani zetu, hatutaki kuona damu inamwagika tena.Asanteni