muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
Alikuwa anachangia kwenye bunge na akanukuu kauli ya Hosea aliyoitoa kwa balozi ya marekani kwamba rushwa kubwa zinashindikana kukomeshwa kutokana na vingozi wa juu kuzikingia kifua. Anasema Kauli hii inaonyesha hatari iliyopo kama Rais wa nchi anaingilia maamuzi ya takukuru na watumishi kwa kuogopa kufukuzwa wanaacha kuziandama rushwa kubwa.
Bila kumungunya wala kumeza meza maneno anaomba bunge hilo kujadili jambo hilo na wahusika wazomee bungeni kabla hawajakutana na nguvu ya umma. wabunge kama hawa ndio tunaowahitaji na sio wale wa ndiooooooooooooo na kupiga meza za bunge hovyohovyo
Bila kumungunya wala kumeza meza maneno anaomba bunge hilo kujadili jambo hilo na wahusika wazomee bungeni kabla hawajakutana na nguvu ya umma. wabunge kama hawa ndio tunaowahitaji na sio wale wa ndiooooooooooooo na kupiga meza za bunge hovyohovyo