UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,525
- 7,723
Tunahitaji kufanya overhaul kubwa ya kikatiba ili taasisi kama Takukuru zipate uhuru wa kufanya kazi zake bila kuingiliwa na hao wanaoitwa 'wakubwa'.
Then hao wabunge wakitafuna rushwa watachunguzwaje, si wataleta vitisho kama Spika 6 alivyotishia kuchukua hatua mkewe alipodakwa na PCCB? Tusiangalie mambo kwa single direction only!Kuna kila haja na sababu kwa PCCB kuwajibika kwa BUNGE.
Huyo lukuvi
zumbubata yule
then hao wabunge wakitafuna rushwa watachunguzwaje, si wataleta vitisho kama spika 6 alivyotishia kuchukua hatua mkewe alipodakwa na pccb? Tusiangalie mambo kwa single direction only!
lisu ni sawa na wabunge 20 wa ccm. Na amesema suala la rada lijadiliwe bungeni na wahusika wazomewe hadharani
Hii haina ubishi ndo maana hata mama spika hakutaka kufutwa kwa kauli.Basi tunamsubiri daktar akiwakilishwa na kanjanja SALVA akanushe vikali
Alikuwa anachangia kwenye bunge na akanukuu kauli ya Hosea aliyoitoa kwa balozi ya marekani kwamba rushwa kubwa zinashindikana kukomeshwa kutokana na vingozi wa juu kuzikingia kifua. Anasema Kauli hii inaonyesha hatari iliyopo kama Rais wa nchi anaingilia maamuzi ya takukuru na watumishi kwa kuogopa kufukuzwa wanaacha kuziandama rushwa kubwa.
Bila kumungunya wala kumeza meza maneno anaomba bunge hilo kujadili jambo hilo na wahusika wazomee bungeni kabla hawajakutana na nguvu ya umma. wabunge kama hawa ndio tunaowahitaji na sio wale wa ndiooooooooooooo na kupiga meza za bunge hovyohovyo
kama sikosei, hata marekani walihangaika sana pale assange aliporusha mambo yao hewani hasa ya uturki, egypt, ufaransa na ujerumaniCheap politics, kuchukuwa habari za kijasusi zilizokuwa intentionally leaked na kupeleka bungeni., Hao majasusi huko kwao wanakozipeleka huchujwa na zisizo na mshiko kama hii wanazi leak, kwa wikileaks, watu wazugike na hilo wao huko wanafanya mengine. Ama kweli Lissu kichaka.
Cheap politics, kuchukuwa habari za kijasusi zilizokuwa intentionally leaked na kupeleka bungeni., Hao majasusi huko kwao wanakozipeleka huchujwa na zisizo na mshiko kama hii wanazi leak, kwa wikileaks, watu wazugike na hilo wao huko wanafanya mengine. Ama kweli Lissu kichaka.