Msema hovyo
Senior Member
- Jul 3, 2011
- 195
- 86
Hatutaki Muungano sisi. Hautusaidii chochote. Wapeni Wazanzibar uhuru wao bwana. Watanganyika bwana, mmeshikilia koloni lakini bado maskini wa kutupwa. Sasa yanini kuitawala Zanzibar ilihali hamneemeki kwa lolote? Wapeni uhuru wao ili wajitegemee. We are tired na hizi kelele za muungano kila kunapokucha.