Tundu Lissu: Tunataka mafaili ya Muungano siyo picha za Nyerere na Karume

Muungano hauna faida yoyote kwa tanganyika zaidi ya kubeba msalaba mzito wa chuma wa wa znz.waende zao haraka wakapambane na wapemba sisi tumeshachoka nao
 
Pole pole tutafika tu. Serikali tatu ndo dawa ya mungano. period! Unajua nini, linapokuja suala la muungano wazanzibar wote wanakuwa kitu kimoja. Wazanzibar wanataka nchi yao hivyo basi nasie tupewe nchi yetu...kisha tuwe na serikali ya muungano. nimechoka kusikia hadithi hii.
 
Pole pole tutafika tu. Serikali tatu ndo dawa ya mungano. period! Unajua nini, linapokuja suala la muungano wazanzibar wote wanakuwa kitu kimoja. Wazanzibar wanataka nchi yao hivyo basi nasie tupewe nchi yetu...kisha tuwe na serikali ya muungano. nimechoka kusikia hadithi hii.
Serikali tatu za nini? Kama muungano haufai in its present form basi tuuvunje kila mtu awe na serikali yake.
 
Muungano kama ulikuwa siri au wa uwazi it doesnt change the nature of it. Sioni sababu ya kulilia mafaili au makubaliano ya muungano hata kama kulikuwa na kikaratasi kimoja au pamphlet zima it makes no sense.

Yeye kama ni 'pro' or 'anti' aje na sababu zake na haweke wazi sio siasa za kujificha nyuma ya pazia akiwa na agenda zake. Aseme wazi muungano ana uona vipi kabla ya kutaka kurushia watu hizi habari za kura za maoni ili kupima upepo wa fikra zake. Weka wazi msimamo toa na sababu za msingi; haitaji 'article of the union' to express his feelings on the matter. Nakupiginia kile anachokiona kwenye huu muungano.

Siasa za kujificha ficha na kusubiri upepo ni dalili za u-coward.

hivi kale katufe ka kidole chini kakowapi vilee
 
Mm nataka huu muungano ufe hauna manufaa yoyote kiuchumi utaskia mbunge anasema faida za muungano ni kuoana
 
Mmojawapo aliyemtaja ni merehemu kassim hanga. Inasemekana alizamishwa ktkt ya bahari ya hindi kisa ni kupinga muungano something like that.
hivi yale majina aliyoyataja ni wakinani wale! Mh anaehafahamu atujuze
 
bwana Jasusi, huwezi kuishi pekee, dunia ya leo watu waishi ki-block block, nchi mbalibali zinaungana. E.g kuna EU, AU, EAC, nk hivyo si busara kuvunja muungano na zanzibar kabisa wakati tunaungana na EAC.
 
Serikali tatu za nini? Kama muungano haufai in its present form basi tuuvunje kila mtu awe na serikali yake.

haswaaaa kaka hapo umenena hatuuitaji huo muungano hautusaidiii chochote hasara tupu, wapeni wazanzibari nchi yao nasi watuachie ya kwetu, walioona mseto wapewe nafasi ya kuchaguwa wapi waashi na wapewee uraia mara moja tuendelee mbele....
tukishamailiza hili la muungano tuwatoe chama cha magamba madarakani . kisha tufanye kazi kuikomboa nchi hii kwenye limbwi la umasikini...
 
Serikali mbili nchi mbili shida zote zitaisha,Tufanye kama Sudan baaasi.Nchi tatu haina maana itakuwa yaleyale ya manung'uniko na gubu la mke/mume lisiloisha.Kwaheri ZNZ karibu THE PEOPLES' REPUBLIC OF TANZANIA
Pole pole tutafika tu. Serikali tatu ndo dawa ya mungano. period! Unajua nini, linapokuja suala la muungano wazanzibar wote wanakuwa kitu kimoja. Wazanzibar wanataka nchi yao hivyo basi nasie tupewe nchi yetu...kisha tuwe na serikali ya muungano. nimechoka kusikia hadithi hii.
 
Aisee Emma mbona sikuelewi?Kwani ZNZ au hata na wao wakitengana na Pemba zikawa nchi mbili tutashindwa kuunda shiikisho la EAC?Shirikisho litakuwepo na kila mtu aingie kama nchi tuache kulialia na kero zisizoisha.Mwaka 2020 EAC itakuwa na wanachama nchi nane huru nazo ni Tanzania,Zanzibar,Pemba,South Sudan,Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi.


bwana Jasusi, huwezi kuishi pekee, dunia ya leo watu waishi ki-block block, nchi mbalibali zinaungana. E.g kuna EU, AU, EAC, nk hivyo si busara kuvunja muungano na zanzibar kabisa wakati tunaungana na EAC.
 
kuna mtu anakumbuka majina ya vile vitabu mh. Lissu alivyokoti kimoja ni cha Prof: Issa Shivji na kingine ni cha Abdu Jumbe Mwinyi if i'm not mistaken pls msaada anayevikumbuka anitajie


Tanzania: The Legal Foundations of The Union: Amazon.co.uk: Issa G. Shivji: Books

Pan-Africanism or Pragmatism?: Lessons of the Tanganyika-Zanzibar Union: Amazon.co.uk: Issa G. Shivji: Books

Aboud Jumbe. 1995. The Partnership: Tanganyika – Zanzibar Union 30 Turbulent Years. Dar es Salaam;
 
Tatizo ni kuwa tumelelewa enzi za zidumu fikra za Mwenyetiki na now its 2011 pple wont stop the nonesense ya kumfanya Nyerere Mungu mtu

tunayo katiba na misingi ya kujiendesha as a country badala ya hizi propaganda za kutufanya hatuna akili zaidi ya mtu mmoja tena marehem

I hate to agree with Lissu on this
 
Nyerere alikua na the best solution ya muundo wa muungano, tatizo ni kwamba waliopo madarakani sasa hawawezi kujibu hoja Nyerere sio sazi yenu kabisa, that guy was beyond ordinary!
 
karume aliwauwa wote walioonekana ni tishio kwa utawala wake kama kassim hanga na wengine haya ameyaandika sana na joseph mihangwa katika gazeti la raia mwema.
 
Re: Tundu Lisu: Tunataka mafaili ya Muungano siyo picha za Nyerere na Karume

Thank you Lissu, thank you a gazillion times, siku hizi tuna watu wanawakilisha mawazo yetu bungeni ..... thank God......Hahahahaaa.......tumechoka na hizi picha!

Muungano+2.jpg

Tunasema hati ya Muungano ipo wapi? Hatutaki Muungano jamani eeeeehh!
 
Back
Top Bottom