hivi Katiba ya nchi hii inasemaje kuhusu movement!!!Wana JF Habari za kuaminika nilizozipata sasa hivi tundu lisu na wenzake wameachiwa kwa dhamani kutoka mahama ya tarime.na ameambiwa asionekane nyamongo from today. source redio one breaking news. mwenye taarifa kamili atujuze.
Wana JF Habari za kuaminika nilizozipata sasa hivi tundu lisu na wenzake wameachiwa kwa dhamani kutoka mahama ya tarime.na ameambiwa asionekane nyamongo from today. source redio one breaking news. mwenye taarifa kamili atujuze.
Asionekane Nyamongo kwa sheria ipi? Huyu hakimu atakuwa anatekeleza amri za mtu fulani. Kwa kitendo cha kushindwa kutoa dhamana jana, huyu hana sifa ya kuendelea na kesi hii.
Mind your languagesasa watu watazikwa baada ya huyu mpumbavu kutulizwa.
Hivi leo hii imefika mahali Mtanzania anapigwa marufuku kutembea nchini kwake!
Kweli si muda mrefu, The Hague itajaa viongozi wa Afrika na Viongozi wengi watapelekwa huko kwa Ujinga wao kwa kuruhusu watu kutumia majina yao kwa manufaa ya Matumbo yao.