atashawishi watu wafanye fujo, si ndio tabia zao hawa.
Hivi wewe unakichaa cha mbwa au!!! Una akili kweli. Kama watanzania wengi bado wako kama wewe kazi ipo. Tumekusamehe bure, manake ungekua milembe.
mi sishangai cz kama hakimu huyo hakuwa na sifa yaani elimu ya kuungaunga na position hiyo kapewa na mkubwa lazima atekeleze maamuzi ya mkubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wote wanajua wazi kuwa huyu **** ndio amesababisha maiti zisizikwe, hana dini huyo lasivyo angeheshimu maiti na kuweka uroho wa madaraka nyuma. Lakini kwaajili yeye ni CHADEMA basi wote mnaona hajakosea.
Wana JF Habari za kuaminika nilizozipata sasa hivi tundu lisu na wenzake wameachiwa kwa dhamani kutoka mahama ya tarime.na ameambiwa asionekane nyamongo from today. source redio one breaking news. mwenye taarifa kamili atujuze.
Tindu ni kansa kwenye nchi yetu ambayo ni kisiwa cha amani na utulivu..........hakimu mwenye hekima alitakiwa kumzuia kwenda mara kabisa kwa kuwa ni mchochezi wa uvunjaji wa amani na mtetezi wa majambazi
Tindu ni kansa kwenye nchi yetu ambayo ni kisiwa cha amani na utulivu..........hakimu mwenye hekima alitakiwa kumzuia kwenda mara kabisa kwa kuwa ni mchochezi wa uvunjaji wa amani na mtetezi wa majambazi