johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,708
- 143,146
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu leo amekutana na Wananchi Katika Vijiwe Vya Tabata Mwananchi, Kimanga, Umoja na Buguruni kwa Mnyamani
Baada ya Kubadilishana Mawazo na Wananchi kwenye Vijiwe hivyo alielekea Viwanja Vya Vingunguti ambako alifanya mkutano mkubwa sana
Mlale Unono 😀
Baada ya Kubadilishana Mawazo na Wananchi kwenye Vijiwe hivyo alielekea Viwanja Vya Vingunguti ambako alifanya mkutano mkubwa sana
Mlale Unono 😀