Tundu Lissu: 'Bunge la Bajeti' is another silly season!

CHUAKACHARA Mkuu, hapa umezidi kidogo. Naomba uwaheshimu kama wanawake kwa ujumla wao, kwani ikiwa kuna mmoja tu ambaye hakufika hapo kwa kufuli utakuwa umemtusi na hukumtendea haki.

Basi nawatoa wale ambao hawakuingia kwa kufuli! Lakini wewe angalia, viti maalum wote ni wazuri! Is this a coincidence, never at all, ni chakula cha wakubwa, believe it or not. Naomba samahani kwa wale ambao hawakuingia kwa njia hizo. Na sikumaanisha kuwa wote ni hao hao!
 
CHUAKACHARA Mkuu, hapa umezidi kidogo. Naomba uwaheshimu kama wanawake kwa ujumla wao, kwani ikiwa kuna mmoja tu ambaye hakufika hapo kwa kufuli utakuwa umemtusi na hukumtendea haki.

Samahani mammamia, Sio wote, lakini wewe ngalia, viti maalum wote ni wazuri(beautiful ladies) Is this a coincidence, not at all, ni deliberate move, and the next question one can pose is: How did deliberate move come about? Mammamia we ni mwanamke, Pole basi, sio wote some are there by merit- they truly deserve being there
 
Samahani mammamia, Sio wote, lakini wewe ngalia, viti maalum wote ni wazuri(beautiful ladies) Is this a coincidence, not at all, ni deliberate move, and the next question one can pose is: How did deliberate move come about? Mammamia we ni mwanamke, Pole basi, sio wote some are there by merit- they truly deserve being there
Mimi ni mwanamme, lakini ni wa mtetezi wa wanawake [na watoto]; na msimamo wangu ni kuwa wanastahiki kuheshimiwa kama wanawake, kama binadamu. Hata kama 99% ni kama ulivyowaelezea, basi hiyo 1% iliyobakia haipaswi kuingizwa kwenye kapu.
 
Yap ni silly season inaotufanya tuonekane silly n' sleepy

  • :sleepy:
 
Back
Top Bottom