CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
CHUAKACHARA Mkuu, hapa umezidi kidogo. Naomba uwaheshimu kama wanawake kwa ujumla wao, kwani ikiwa kuna mmoja tu ambaye hakufika hapo kwa kufuli utakuwa umemtusi na hukumtendea haki.
Basi nawatoa wale ambao hawakuingia kwa kufuli! Lakini wewe angalia, viti maalum wote ni wazuri! Is this a coincidence, never at all, ni chakula cha wakubwa, believe it or not. Naomba samahani kwa wale ambao hawakuingia kwa njia hizo. Na sikumaanisha kuwa wote ni hao hao!