Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 82,480
- 95,886
Anawafundisha polisi namna ya kufanya kazi na siyo kutisha watuHakuna mtanzania yeyote mwenye akili timamu ambaye anamdharau Lissu!!
Anawafundisha polisi namna ya kufanya kazi na siyo kutisha watuHakuna mtanzania yeyote mwenye akili timamu ambaye anamdharau Lissu!!
argument za kijinga, hampendi kuambiwa ukweli ungepaswa kuelewa kwa nini nawafananisha na gunia la tumbakuUna umri gani?
Tena natamani wamfikishe mahakamani haraka tumemiss vifungu vya sheriaLissu ni kichwa level nyingine kwenye sheria..huyo DCI ataumbuka labda kama amesahau history ya huyu bwana ...nikikumbuka alivomwambia magufuli Kuwa ni "dikteta uchwara" na unahiri wake mahakamani wa kuwatoa jasho mawakili wa serikali .....hadi magufuli akaona huyu dawa yake ni moja tu maana nimemshindwa.. ..sasa hii kauli ya juzi aliyotoa atawafurumusha sekunde kwenye mahojiano..
Hajakataa amesema aandikiwe kosa lakeThat is political mistake Tundu Lisu anafanya.
Mwanasiasa makini, mzalendo, raia mwema na asie na hatia anaitikia wito bila kusita wala kuhoji content ya wito. Kisha atakataa neno ikiwa halimuhusu na kuwashauri wahusika vinginevyo, basi hivyo hivyo tu.
This will paint him negatively kwamba how come mtu asietii wito wa dola anapewa mamlaka?
Ndio maana unakuta kiongozi wa upinzani anaweza kushinda uchaguzi but akapokwa ushindi wake au kugomewa kupewa mamlaka na vyombo vya dola ikiwa ni pamoja na polisi, Jeshi, Mahakama, TIS n.k kwasababu tu alividharau nyakati mbalimbali huko nyuma. Thus why kwa tz Mbowe anaaminika zaidi na dola kuliko mwanasiasa mwingine wa upinzani Tz. huyu hata akishinda dola inaweza mruhusu kuongoza nchi. Rejea heshma na nidhamu yake kwa dola na mahakama.
Umeulizwa kuwa wewe binafsi una umri gani hapa duniani?argument za kijinga, hampendi kuambiwa ukweli ungepaswa kuelewa kwa nini nawafananisha na gunia la tumbaku
Wa kila kitu. Umesahau ya jiwe?Atakauwa mbabe dhidi ya nani??
idadi ya namba za nidaUmeulizwa kuwa wewe binafsi una umri gani hapa duniani?
Lissu the greatHili liwe fundisho kwa mamlaka, wanapoleta maigizo yao, waangalie wanamuigizia nani, sio kujikurupukia tu, huwezi kumtisha mwanasheria, kwenye jambo linalohusu sheria, kienyeji.
Lissu itakuwa baada ya kupokea ile barua akajiuliza hivi naenda pale kufanya nini? kwani sheria inasemaje? akaona ujinga huu, siendi popote.
Walishaambiwa kuna watu wakuwatisha, lakini kwa Lissu aliyeonja mpaka ladha ya risasi zao zaidi ya kumi na sita, huyu kucheza nae kunahitaji akili ya ziada, wala sio hayo maigizo yao waliyoyazoea kila wakati. Kingai aibu kwake.
Hii Iliwahi kutokea kwenye nchi gani ya kidemokrasia we CHAWA?That is political mistake Tundu Lisu anafanya.
Mwanasiasa makini, mzalendo, raia mwema na asie na hatia anaitikia wito bila kusita wala kuhoji content ya wito. Kisha atakataa neno ikiwa halimuhusu na kuwashauri wahusika vinginevyo, basi hivyo hivyo tu.
This will paint him negatively kwamba how come mtu asietii wito wa dola anapewa mamlaka?
Ndio maana unakuta kiongozi wa upinzani anaweza kushinda uchaguzi but akapokwa ushindi wake au kugomewa kupewa mamlaka na vyombo vya dola ikiwa ni pamoja na polisi, Jeshi, Mahakama, TIS n.k kwasababu tu alividharau nyakati mbalimbali huko nyuma. Thus why kwa tz Mbowe anaaminika zaidi na dola kuliko mwanasiasa mwingine wa upinzani Tz. huyu hata akishinda dola inaweza mruhusu kuongoza nchi. Rejea heshma na nidhamu yake kwa dola na mahakama.
Labda wewe na wazazi wako ndo mnamdharau. Ila sisi watanzania wenye akili timamu tunaungana na lissu.lisu kwa mapuza hapana kwa kweli, ndio mana watanzania wanamdharau
Si wamkamate kwani amekataa kukamatwa? yeye anataka ajulishe kosa kama sheria inavyotaka ndiyo aende polisiuungwana ni vitendo
mkizinduka wenzenu wanarauka ndugu zanguLabda wewe na wazazi wako ndo mnamdharau. Ila sisi watanzania wenye akili timamu tunaungana na lissu.
Ni kama amejifunza kwa yule dogo mdude
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewasili nchini leo Julai 26, 2023 kutoka Ulaya.
Akihojiwa juu ya kuitikia wito wa DCI Kingai unaomtaka afike ofisini kwa mahojiano, Lissu ametoa kauli inayoashiria kuwa hatakwenda.
“Kwenda (kwa DCI) kufanya nini? Unapoitwa na Polisi mahali popote lazima polisi akuambie anakuitia kosa gani. Ile barua imesema kuna kosa? ……”
Baada ya kutoa kauli hii Lissu aliondoka. Kauli hii inatoa tafsiri kuwa Mwanasheria huyo nguli hatokwenda ofisi ya DCI iliyompa wito wa kufanya naye mahojiano kufuatia matamshi aliyotoa kama alivyonukuliwa akisema kauli za Rais ni matope.
Pia soma: Tundu Lissu: DCI Kingai kaniandikia barua ya wito wa kuripoti ofisini kwake. Nipo nje ya nchi, wiki ijayo narudi kumkabili
Ni nguli hasa ila kipindi kile cha Jiwe nilimwona pale airport akiharakisha kupanda ndege akimkimbia Jiwe! Ahahahahaha! Huyu ni nguli kweri kweri!
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewasili nchini leo Julai 26, 2023 kutoka Ulaya.
Akihojiwa juu ya kuitikia wito wa DCI Kingai unaomtaka afike ofisini kwa mahojiano, Lissu ametoa kauli inayoashiria kuwa hatakwenda.
“Kwenda (kwa DCI) kufanya nini? Unapoitwa na Polisi mahali popote lazima polisi akuambie anakuitia kosa gani. Ile barua imesema kuna kosa? ……”
Baada ya kutoa kauli hii Lissu aliondoka. Kauli hii inatoa tafsiri kuwa Mwanasheria huyo nguli hatokwenda ofisi ya DCI iliyompa wito wa kufanya naye mahojiano kufuatia matamshi aliyotoa kama alivyonukuliwa akisema kauli za Rais ni matope.
Pia soma: Tundu Lissu: DCI Kingai kaniandikia barua ya wito wa kuripoti ofisini kwake. Nipo nje ya nchi, wiki ijayo narudi kumkabili
Jibu hoja, wewe unaumri Gani? Lengo ni kutaka kulinganisha huo umri na michango unayotoa humu jukwaaniidadi ya namba za nida
jibu si umeshalipata,au wewe ni mkunga unataka kubishaJibu hoja, wewe unaumri Gani? Lengo ni kutaka kulinganisha huo umri na michango unayotoa humu jukwaani
Unapotea nduguLissu ni Mussa wa kizazi cha leo.
Huyo ana mimba ya LissuHakuna mtanzania yeyote mwenye akili timamu ambaye anamdharau Lissu!!