Tundu Lissu apuuza wito wa DCI Kingai, asema hatoenda ofisini kwake

Si wamkamate kwani amekataa kukamatwa? yeye anataka ajulishe kosa kama sheria inavyotaka ndiyo aende polisi
kwanini wamkamate? huenda polisi wanzo taarifa za kiintelijensia wanataka kumjulisha na kumtahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini awe makini na wanaoumzunguka wanaweza kumdhuru kwani hawana nia njema nae. Kwani hiyo ni mbaya? au unabisha tu kwasababu una hulka ya kubisha
 
kwanini wamkamate? huenda polisi wanzo taarifa za kiintelijensia wanataka kumjulisha na kumtahadharisha kuwa maisha yake yako hatarini awe makini na wanaoumzunguka wanaweza kumdhuru kwani hawana nia njema nae. Kwani hiyo ni mbaya? au unabisha tu kwasababu una hulka ya kubisha
Atajulishwa na malaika wa bwana na siyo polisi, Lissu hana imani na polisi alishawahi kutoa taarifa kuwa anafuatiliwa matokeo yake polisi wanaolinda makazi ya viongozi waliondolewa akapigwa risasi kwenye makazi ya viongozi na ulinzi full. Analindwa na MUNGU na ndiye aliyemuokoa na risasi 37
 

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewasili nchini leo Julai 26, 2023 kutoka Ulaya.

Akihojiwa juu ya kuitikia wito wa DCI Kingai unaomtaka afike ofisini kwa mahojiano, Lissu ametoa kauli inayoashiria kuwa hatakwenda.

“Kwenda (kwa DCI) kufanya nini? Unapoitwa na Polisi mahali popote lazima polisi akuambie anakuitia kosa gani. Ile barua imesema kuna kosa? ……”

Baada ya kutoa kauli hii Lissu aliondoka. Kauli hii inatoa tafsiri kuwa Mwanasheria huyo nguli hatokwenda ofisi ya DCI iliyompa wito wa kufanya naye mahojiano kufuatia matamshi aliyotoa kama alivyonukuliwa akisema kauli za Rais ni matope.

Pia soma: Tundu Lissu: DCI Kingai kaniandikia barua ya wito wa kuripoti ofisini kwake. Nipo nje ya nchi, wiki ijayo narudi kumkabili
Yaani kwa jinsi CCM inavyowanyanyasa Wapinzani ni sawa na akina Madela walivyonyanyaswa na Makaburu!! Tofauti ni kipindi, rangi na nchi....!!
 

Polisi wa Tanzania ni changamoto au sababu ya entry qualifications zao kuwa ni za chini?

Kwenye ile kesi ya kubumba ya Mbowe tuliona jinsi gani ambavyo polisi hawajui Police Force General Orders (PGO).

Katika video hii ya mwaka 2017 jionee hapo Lissu anavyompa "shule" polisi kilaza asiyejua Criminal Procedure Act (CPA) kwa kutaka kumshikilia mtu bila ya anayeshikiliwa kujua kosa lake .

Nchi ina safari ndefu kwa jinsi polisi inavyotumika kuserve interests za CCM.
 
View attachment 2699815
Polisi wa Tanzania ni changamoto au sababu ya entry qualifications zao kuwa ni za chini?

Kwenye ile kesi ya kubumba ya Mbowe tuliona jinsi gani ambavyo polisi hawajui Police Force General Orders (PGO).

Katika video hii ya mwaka 2017 jionee hapo Lissu anavyompa "shule" polisi kilaza asiyejua Criminal Procedure Act (PCA) kwa kutaka kumshikilia mtu bila ya anayeshikiliwa kujua kosa lake .

Nchi ina safari ndefu kwa jinsi polisi inavyotumika kuserve interests za CCM.
mambo ya ajabu sana. Yaani wakili tena anajiita msomi anapambana na polisi tu wa kawaida mwenye wajibu tu wakukamata mtuhumiwa eti hadi anampa document aonyeshe ni sheria ipi inampa nguvu ya kukamata. Wakili anaejielewa hababaiki na polisi anenda kumtetea mteja wake mbele ya mwansheria mwenzake au wakili mahakamani. vinjinevyo anataka tu ajulikane au askike kua anajua kubisha na kuongea.
 
mambo ya ajabu sana. Yaani wakili tena anajiita msomi anapambana na polisi tu wa kawaida mwenye wajibu tu wakukamata mtuhumiwa eti hadi anampa document aonyeshe ni sheria ipi inampa nguvu ya kukamata. Wakili anaejielewa hababaiki na polisi anenda kumtetea mteja wake mbele ya mwansheria mwenzake au wakili mahakamani. vinjinevyo anataka tu ajulikane au askike kua anajua kubisha na kuongea.
Kwahiyo leo hii polisi akija kukukamata hata saa hizi hutomuuliza sababu ya kukukamata?
 

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewasili nchini leo Julai 26, 2023 kutoka Ulaya.

Akihojiwa juu ya kuitikia wito wa DCI Kingai unaomtaka afike ofisini kwa mahojiano, Lissu ametoa kauli inayoashiria kuwa hatakwenda.

“Kwenda (kwa DCI) kufanya nini? Unapoitwa na Polisi mahali popote lazima polisi akuambie anakuitia kosa gani. Ile barua imesema kuna kosa? ……”

Baada ya kutoa kauli hii Lissu aliondoka. Kauli hii inatoa tafsiri kuwa Mwanasheria huyo nguli hatokwenda ofisi ya DCI iliyompa wito wa kufanya naye mahojiano kufuatia matamshi aliyotoa kama alivyonukuliwa akisema kauli za Rais ni matope.

Pia soma: Tundu Lissu: DCI Kingai kaniandikia barua ya wito wa kuripoti ofisini kwake. Nipo nje ya nchi, wiki ijayo narudi kumkabili
wenyewe wanasema Zipompa-pompa.
 
Hili liwe fundisho kwa mamlaka, wanapoleta maigizo yao, waangalie wanamuigizia nani, sio kujikurupukia tu, huwezi kumtisha mwanasheria, kwenye jambo linalohusu sheria, kienyeji.

Lissu itakuwa baada ya kupokea ile barua akajiuliza hivi naenda pale kufanya nini? kwani sheria inasemaje? akaona ujinga huu, siendi popote.

Walishaambiwa kuna watu wakuwatisha, lakini kwa Lissu aliyeonja mpaka ladha ya risasi zao zaidi ya kumi na sita, huyu kucheza nae kunahitaji akili ya ziada, wala sio hayo maigizo yao waliyoyazoea kila wakati. Kingai aibu kwake.
Binafsi nashukuru zaidi kwa vile hili ni "FUNDISHO" muhimu sana kwa wananchi.

Haya mavitisho mengi wanayotoa hawa polisi na wengine yanalenga hasa kuwatisha raia.
Sasa inapotokea hivi, nasi ambao hatuna ufahamu wa sheria zinasemaje, taratibu tunaanza kujifunza haki zetu, na kuzilinda.
 
That is political mistake Tundu Lisu anafanya.
Mwanasiasa makini, mzalendo, raia mwema na asie na hatia anaitikia wito bila kusita wala kuhoji content ya wito. Kisha atakataa neno ikiwa halimuhusu na kuwashauri wahusika vinginevyo, basi hivyo hivyo tu.
This will paint him negatively kwamba how come mtu asietii wito wa dola anapewa mamlaka?
Ndio maana unakuta kiongozi wa upinzani anaweza kushinda uchaguzi but akapokwa ushindi wake au kugomewa kupewa mamlaka na vyombo vya dola ikiwa ni pamoja na polisi, Jeshi, Mahakama, TIS n.k kwasababu tu alividharau nyakati mbalimbali huko nyuma. Thus why kwa tz Mbowe anaaminika zaidi na dola kuliko mwanasiasa mwingine wa upinzani Tz. huyu hata akishinda dola inaweza mruhusu kuongoza nchi. Rejea heshma na nidhamu yake kwa dola na mahakama.
Umeandika TAKATAKA.

Kwamba Dola isifuate sheria?

Dola si ni kikundi cha watu tu tumepitiamo Depo.

Uchawa umekujaa
 
Back
Top Bottom