Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,688
- 1,282
Ndugu yangu, upo nchi gani hulijui hili! "Kitambi" ndiye aliyemnunulia Lulu gari. Kama hiyo haitoshi inasemekana kuwa "Kitambi" anapenda sana "kupita mlango wa nyuma" na inasemekana mmoja wa watu anaowala ni Mkibosho mmoja mwenye bar pale Mwenge.
Du!! hii kali, mkibosho huyu ni me au ke?