deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 931
- 503
Akiwa anahojiwa na Ebony FM asubuh hii uko akiwa safarini, kwanza kaonyesha uungwana kukubali kusimamisha gari na kufanya interview, ametoa msimamo wake wa kuikataa budget na alipokuja kuulizwa juu ya swala la Komba kuwaambia wabunge wa chadema wakapimwe akili, alijibu kwa ufupi kuwa Komba kuna habari naye kuhusishwa kuwa na uhusiano na LULU.
Sasa hapo nani anastahili kwenda kupimwa akili?
Sasa hapo nani anastahili kwenda kupimwa akili?