ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Thibitisheni kama kakosea kama hamna uwezo huo yuko sahihi, tunawasubiriKwa kauli ya "kama nakosea" inafuta umaana wa anayoongea na kuleta mashaka kwa kila chochote anachokiongelea.
Thibitisheni kama kakosea kama hamna uwezo huo yuko sahihi, tunawasubiriKwa kauli ya "kama nakosea" inafuta umaana wa anayoongea na kuleta mashaka kwa kila chochote anachokiongelea.
Alikuwa anamuumbua MwakyembeKwa kauli ya "kama nakosea" inafuta umaana wa anayoongea na kuleta mashaka kwa kila chochote anachokiongelea.
Chukulia Mwakyembe amjibu tu kwa kifupi, "sio kweli", je atakua na uhalali wa kohoji kwanini sio kweli wakati hata yeye hajui?Thibitisheni kama kakosea kama hamna uwezo huo yuko sahihi, tunawasubiri
Sio kwa staili iyo mkuu,.Alikuwa anamuumbua Mwakyembe
Tunahitilafiana katika kuelewa mambo.Mimi naamini alikuwa anajaribu kumvua nguo mwalimu wake.Sio kwa staili iyo mkuu,.
Kauli zake hazikua na uhalali wa kuaminiwa mpaka Mwakyembe atie neno la kukubali au kukataa.
Kumbukumbu jaji mfawidhiDhambi ya mil 10 nitahathia hadi wajukuu zangu Mungu akinijalia afya na uzima.
Hii tuiweke kwenye vitabu vya kumbukumba.
Kaka Jambazi wewe utakuwa wale majambazi wanaovua viatu wakifika nyumba yenye zulia safi kuiba. Unaposema sio kweli si ni wajibu wako kuusema ukweli?Sio kwa staili iyo mkuu,.
Kauli zake hazikua na uhalali wa kuaminiwa mpaka Mwakyembe atie neno la kukubali au kukataa.
Tanzania imeiga ukoloni alioukataa kila mwenye akili ya kibinadamu duniani , Hii ccm ipigwe vita kiukweli sana , mara zote tumesema humu kwamba TUNAPIGANIA UKOMBOZI nadhani sasa mmeelewaBaada ya Tundu Lissu kutoa hoja nzito kuhusu baadhi ya vifungu ktk muswada huu wa Huduma za Vyombo vya Habari tunasubiri kuona kama Rais John Pombe Magufuli atatumia uwezo/mamlaka yake kutousaini.
Maana ijumaa tarehe 4 November 2016, katika mkutano wake na wahariri wa vyombo vya habari Mh. Rais ''alisema'' kuwa taasisi ya Urais ni kubwa kuliko mihimili mingine ya dola yaani Bunge na Mahakama. Na kama taasisi ya URais ina uwezo wa ''kupiga kura ya veto'' tunategemea Rais kutousaini muswada huu na badala yake ataurudisha Bungeni ufanyiwe marekebisho kuondoa ''mabaki'' ya ''kikoloni''.
Nlishasema hiki kitu mkuuLissu nakupenda sana kwa taaluma ako ya sheria hakika mungu kakupatia kipaji cha pekee na kama Tanzania tusingekuwa tunaangalia vyama wewe ndio ungekuwa waziri wa katiba na sheria au mwanasheria mkuu kulingana na uwezo wako wa sheria ni mkubwa sana
Ila kama angekuwa ametajwa Lowassa, dadadek angejaa kwenye screenAjahahahaha umenifurahisha umetumia style ya kipekee kujaribu kumvuta lkn ametumia akili nyingi ya tundu lissu kujificha inaweza akawa anajua kua akuna cha kupinga hapo hata yeye ajafurahisha na sheria iyo pia
Ila akitajwa Lowassa, hata bila ujira lazima aje ajilipue, angalau amseme kidogo. Sijui huyo baba wa watu alimfanyaje Lizaboni.Lizabon kama hajapewa pesa huwa haingii JF yy hana kazi anaishi kwa kuwatetea ccm lakini pindi wakimlipa tu.
Angekua wa kwanza ahahahaha au ameenda kupanga foleni ya kuchukua leseni ya uandishi wa habari labdaIla kama angekuwa ametajwa Lowassa, dadadek angejaa kwenye screen
Hahahhahaha kumbe kuna wakati jamaa network huwa zinasoma.Niliwahi kusoma message ya mheshimiwa wa mtera akisema angependa mwanawe asome na awe anatiririka kama TL.
Acha kukufuru wewe kwa mambo yasiyo ya msingi!!