Tundu Lissu achambua Muswada wa Huduma za Vyombo vya Habari bungeni

Baada ya Tundu Lissu kutoa hoja nzito kuhusu baadhi ya vifungu ktk muswada huu wa Huduma za Vyombo vya Habari tunasubiri kuona kama Rais John Pombe Magufuli atatumia uwezo/mamlaka yake kutousaini.

Maana ijumaa tarehe 4 November 2016, katika mkutano wake na wahariri wa vyombo vya habari Mh. Rais ''alisema'' kuwa taasisi ya Urais ni kubwa kuliko mihimili mingine ya dola yaani Bunge na Mahakama. Na kama taasisi ya URais ina uwezo wa ''kupiga kura ya veto'' tunategemea Rais kutousaini muswada huu na badala yake ataurudisha Bungeni ufanyiwe marekebisho kuondoa ''mabaki'' ya ''kikoloni''.
 
Tundu Lissu anampa Ujiko Mwakyembe Bure, anayesaliti Ukweli na Taaluma hastahili Heshima. Mwakyembe ni Hovyo sana!
 
Anajipandisha value tu,akipata nafasi mtamsahau,shida ya hawa wanasiasa wakiwa tee wanajitoa sana bt wakianza kushika pesa tu wanabakia stori,LISSU anaonekana mtu cz hajawai pimwa ktk nafas yoyote.
We ndo boga kabs kichwani yani kwakua ccm wamepata nafasi na awajafanya chochote bac hukumu iyo unatoa kwa wote siasa chafu za ccm toa nafasi kwa mwingine ili uje pata aliye bora bila kutoa nafac acha kuona wote sawa
 
Lizaboni kwenye hii thread hata avutwe kwa grader, atakata mnyororo ilimradi asije. Lakini anauchabo kwa mbaaali
Ajahahahaha umenifurahisha umetumia style ya kipekee kujaribu kumvuta lkn ametumia akili nyingi ya tundu lissu kujificha inaweza akawa anajua kua akuna cha kupinga hapo hata yeye ajafurahisha na sheria iyo pia
 
Tundu Lissu mwanasheria makini sana na msomi anayeitumia taaluma kwa manufaa ya wananchi wote siyo kama wale wamehongwa milioni 10 kila mbunge wapitishe muswada wa habari ambao waliupitisha .
 
Labda wewe ndiye unamuhitaji zaidi kurekebisha Demokrasia ya CDM.Tunawashangaa ninyi mliohubiri miaka 8 kwamba Lowassa fisadi na mnao ushahidi na kwamba ni heshima kwa Mungu kumuheshimu. Eti huyo ndio mnatuambia tumchague ataleta mabadiliko! Hivi mna akili kweli?
Hoja iliyopo ni high level kwako, hivyo umeona utuondoe kwenye mada, hutaweza.
 
Ina maana sisi wasomi wa siku hizi hatutumii vichwa tunakopi tu mambo ya kikoloni. Wasomi serikalini ukimpigia simu kumtafuta utasikia anakazi nyeti ya kutunga mswada wa sheria za magazeti kumbe amejifungia chumbani anacopy sheria za zamani. Halafu ndo mtegemee kupiga hatua za kimaendeleo kufikia nchi ya viwanda kwa style hiyo.
 
Uleutafiti kwamba tz ni nchi inayoongoza kwa unafki naweza nikakubaliana na utafiti huo Leo watu wanamsifu tundu lisu kaongea point kesho wanaponda humu humu jf watu hawajitambui wapo upande upi niunafki uliopitiliza yani watu wamesoma lakini hawajaelimika.big up mh tundu lisu
 
Uleutafiti kwamba tz ni nchi inayoongoza kwa unafki naweza nikakubaliana na utafiti huo Leo watu wanamsifu tundu lisu kaongea point kesho wanaponda humu humu jf watu hawajitambui wapo upande upi niunafki uliopitiliza yani watu wamesoma lakini hawajaelimika.big up mh tundu lisu
Give credit when due!!!
 
Kwa kauli ya "kama nakosea" inafuta umaana wa anayoongea na kuleta mashaka kwa kila chochote anachokiongelea.
 
Back
Top Bottom