natengeneza simu online kam ina tatizo kati ya haya yafutayo
1.imezima gafla
2.haitaki kuwaka
3.umeshau password so unataka kuflash
4.imejilock
5.inawaka na kuzima
Na nk kifupi ni tatzo lolote la software
namba yangu hii hapa 0712505049
Nina simu yangu Samsung galaxy note 3, nimefanya factory reset hatimae Samsung logo imepotea nikiwasha na name hata nikizima, natamani kurudisha logo je utanisaidiaje? cc: chief-mkwawa Ahsanteni!
Watanzania wanaaminiana sana hata malipo ya pesa watatumiana!
malipo mpaka kazi ifanyike ukizingua tunahack namba yako ufanyi mawasiliano yoyote we na phone book yako mwaka mzima hacking ni somo zuri sana baada ya kupata mafunzo huko uk now naweza vamia hata website ya usalama wa taifa
malipo mpaka kazi ifanyike ukizingua tunahack namba yako ufanyi mawasiliano yoyote we na phone book yako mwaka mzima hacking ni somo zuri sana baada ya kupata mafunzo huko uk now naweza vamia hata website ya usalama wa taifa