Tunapotoa misamaha huwa hatutoi kwa fulani na fulani, linaangaliwa kundi!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Nijikite moja kwa moja kwenye msamaha wa Babu Seya na Nguza

Hapa naona kama rais Magufuli amefanya siasa kutokana na ukweli kuwa amepingana na hukumu waliyopewa hawa watu na ushahidi uliothibitisha makosa yao.Kama sivyo basi ipo vita ambayo ameamua kuianzisha kwa kusudi fulani ikiwa ni pamoja na kunusa kuwa huenda hukumu aliyopewa Babu Seya na mwanae haikuwa sahihi?

Ikiwa rais anapaswa kutoa msamaha kwa wafungwa. Huwa hasemi ninawasamehe fulani na fulani kama alivyofanya kwa babu Seya na mwanae tofauti na pale alipoanza mfano kusamehe wale wenye miaka 85 ns kuendelea kwa maana kuwa lile kundi lote limenufaika na msamaha tofauti na alivyofanya kwa Babu Seya na mwanae maana hawa pekee ndiyo walionufaika na msamaha na siyo kundi fulani.

Hapa rais alitakiwa ama atoe msaha kwa wafungwa wote waliowahi kuhukumiwa kutokana na kupatikana na hatia ya kulawiti ili kuleta maana.Hapa rais kwa mara nyingine ameteleza na ategemee kuzuka kwa mjadala mkubwa juu ya hili. Aidha tayari rufaa zote zilishakatwa hivyo hukumu ilikuwa imefikia tamati! Kwanini uwe ni msamaha wa kubagua? Vipi kwa hawa "walawiti" wengine?
 
Nijikite moja kwa moja kwenye msamaha wa Babu Seya na Nguza

Hapa naona kama rais Magufuli amefanya siasa kutokana na ukweli kuwa amepingana na hukumu waliyopewa hawa watu na ushahidi uliothibitisha makosa yao.Kama sivyo basi ipo vita ambayo ameamua kuianzisha kwa kusudi fulani ikiwa ni pamoja na kunusa kuwa huenda hukumu aliyopewa Babu Seya na mwanae haikuwa sahihi?

Ikiwa rais anapaswa kutoa msamaha kwa wafungwa. Huwa hasemi ninawasamehe fulani na fulani kama alivyofanya kwa babu Seya na mwanae tofauti na pale alipoanza mfano kusamehe wale wenye miaka 85 ns kuendelea kwa maana kuwa lile kundi lote limenufaika na msamaha tofauti na alivyofanya kwa Babu Seya na mwanae maana hawa pekee ndiyo walionufaika na msamaha na siyo kundi fulani.

Hapa rais alitakiwa ama atoe msaha kwa wafungwa wote waliowahi kuhukumiwa kutokana na kupatikana na hatia ya kulawiti ili kuleta maana.Hapa rais kwa mara nyingine ameteleza na ategemee kuzuka kwa mjadala mkubwa juu ya hili. Aidha tayari rufaa zote zilishakatwa hivyo hukumu ilikuwa imefikia tamati! Kwanini uwe ni msamaha wa kubagua? Vipi kwa hawa "walawiti" wengine?
Katiba haijamuwekea masharti,katiba imelipa bunge mamlaka ya kutunga Sheria ya kumuwekea rais masharti sijui kama lilishaitunga hiyo Sheria ,kama hakuna basi rais yuko sahihi
 
Mjadala utakuw mrefu lakini Ndo imetoka hiyo,
Mtasahau tena kujadili masuala muhimu yenye usitawi
Mtatoka kwenye direction yenu nakuanza kuhangaika na mjadala huu mpya
Mwishowe mtakuja kumbuka shuka kumekucha kwa kuendekeza siasa za matukio
 
Katiba haijamuwekea masharti,katiba imelipa bunge mamlaka ya kutunga Sheria ya kumuwekea rais masharti sijui kama lilishaitunga hiyo Sheria ,kama hakuna basi rais yuko sahihi
Kama rais yuko sahihi vipi siku mtu wake wa karibu au ndugu akihukumiwa? "Daddy is coming"
 
Nijikite moja kwa moja kwenye msamaha wa Babu Seya na Nguza

Hapa naona kama rais Magufuli amefanya siasa kutokana na ukweli kuwa amepingana na hukumu waliyopewa hawa watu na ushahidi uliothibitisha makosa yao.Kama sivyo basi ipo vita ambayo ameamua kuianzisha kwa kusudi fulani ikiwa ni pamoja na kunusa kuwa huenda hukumu aliyopewa Babu Seya na mwanae haikuwa sahihi?

Ikiwa rais anapaswa kutoa msamaha kwa wafungwa. Huwa hasemi ninawasamehe fulani na fulani kama alivyofanya kwa babu Seya na mwanae tofauti na pale alipoanza mfano kusamehe wale wenye miaka 85 ns kuendelea kwa maana kuwa lile kundi lote limenufaika na msamaha tofauti na alivyofanya kwa Babu Seya na mwanae maana hawa pekee ndiyo walionufaika na msamaha na siyo kundi fulani.

Hapa rais alitakiwa ama atoe msaha kwa wafungwa wote waliowahi kuhukumiwa kutokana na kupatikana na hatia ya kulawiti ili kuleta maana.Hapa rais kwa mara nyingine ameteleza na ategemee kuzuka kwa mjadala mkubwa juu ya hili. Aidha tayari rufaa zote zilishakatwa hivyo hukumu ilikuwa imefikia tamati! Kwanini uwe ni msamaha wa kubagua? Vipi kwa hawa "walawiti" wengine?
sijui siku gani mta pumzika kwa kukosoa kila dakika,kuna mambo mengine we si mungu wakujua watu vizuri,shugulikia familia yako.au pambana na hali yako
 
kwa moyo wa huruma nampongeza rais kuwaweka huru hawa jamaa (jk sijui kajisikiaje hahaaaaaaaa we saliiiiima)

japokuwa ametumia mabavu na kusigina nguvu ya mahakama, katumia vibaya ofiis yake

kwa kawaida ya tanzania hakuna atakaemuuliza wala kuleta vyokofyoko. yamepita wacha maisha yaendeleeeeeee
 
Nilisikia kama anasoma kipengele kwenye katiba kwamba "rais anaweza kutoa msamaha kwa mtu yeyote kwa kosa lolote". Lkn ngoja magwiji wa sheria waje.
 
Daaah huku mtaani kwetu ni nderemo na vifijo sidhani kama watu watakuelewa kwa hili.

Ngoja kwanza watoke.

Mkuu hata mimi kwangu ni nderemo na vifijo kama kuna mwanajamvi yeyote aliyepo korogwe leo ani pm kama ni mwana burudani jioni kwana wazee wa ngwasuma kwa furaha niliyo nayo nitawalipia kiingilio na vinywaji bureeee mpaka choka mwenyewe
 
Back
Top Bottom