Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,437
- 2,158
Mzee anatafta kiki
Una akili saana mkuu hiyo sheria ndo iliyowatoaNamba 2,
ukiwa mtiifu na mstaarabu wanakuachia tu wanajua umejirudi kwani jela ni mafunzo.
Akili yako ni ya ajabu sana. Huoni kama hapa rais katoa msamaha kwa upendeleo?
angepita lowasa na ile ahadi yake angemtoa ye yupo sahh bt co maguful, cjui mnawazajeAkili yako ni ya ajabu sana. Huoni kama hapa rais katoa msamaha kwa upendeleo?
hahahahahaLowassa 2015: ntamtoa babu seya nikiwa rais.
Chadema 2015: lowassa hoyeeee!
Ccm 2015 : utamtoaje mlawiti?
Magufuli 2017: namtoa kwa msamaha babu seya,
Ccm 2017: magufuli hoyeee!
Chadema 2017: kamtoa kwa misingi ipi?
Mtu yeyote.Ok, nieleze Babu Seya na Papii Kocha wanaingia kundi gani la wanufaika wa msamaha?
Ss watu povu la nn kumbe katiba ipo wazi kabisa
Umetumia sheria gani kufikia judgment yako hiyo? Rais anafanya maamuzi yake kwa muujibu wa katiba. Je kuna mahala ktk sheria inamlazimisha Rais kusamehe group la watu hat kama ktk group hilo limebeba watu hatari kwa ustawi wa jamii? Ni jambo jema sana kujilidhisha kabla ya kutoa lawama. Soma katiba ya tz ya mwaka 1977 ibara ya 45(1)(a). Nakutakia kazi njemaNijikite moja kwa moja kwenye msamaha wa Babu Seya na Nguza
Hapa naona kama rais Magufuli amefanya siasa kutokana na ukweli kuwa amepingana na hukumu waliyopewa hawa watu na ushahidi uliothibitisha makosa yao.Kama sivyo basi ipo vita ambayo ameamua kuianzisha kwa kusudi fulani ikiwa ni pamoja na kunusa kuwa huenda hukumu aliyopewa Babu Seya na mwanae haikuwa sahihi?
Ikiwa rais anapaswa kutoa msamaha kwa wafungwa. Huwa hasemi ninawasamehe fulani na fulani kama alivyofanya kwa babu Seya na mwanae tofauti na pale alipoanza mfano kusamehe wale wenye miaka 85 ns kuendelea kwa maana kuwa lile kundi lote limenufaika na msamaha tofauti na alivyofanya kwa Babu Seya na mwanae maana hawa pekee ndiyo walionufaika na msamaha na siyo kundi fulani.
Hapa rais alitakiwa ama atoe msaha kwa wafungwa wote waliowahi kuhukumiwa kutokana na kupatikana na hatia ya kulawiti ili kuleta maana.Hapa rais kwa mara nyingine ameteleza na ategemee kuzuka kwa mjadala mkubwa juu ya hili. Aidha tayari rufaa zote zilishakatwa hivyo hukumu ilikuwa imefikia tamati! Kwanini uwe ni msamaha wa kubagua? Vipi kwa hawa "walawiti" wengine?
Yule wa moyoni mwenu alipojinadi atamtoa mkashangilia kwa nderemo pale jangwani hukujua kama nae angefanya upendeleo? Kilio chao kimesikika sasa wapo huru.Akili yako ni ya ajabu sana. Huoni kama hapa rais katoa msamaha kwa upendeleo?