Tunapoandamana kupinga miswada mibovu ya Sheria za Uchaguzi muwe mnaelewa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,755
218,369
Huyu hapa ni miongoni mwa Wasimamizi wa Uchaguzi wa Tanzania , sasa hata kama wewe ni kipofu wa Ubongo unadhani huyu anaweza kutenda haki yoyote ?

Screenshot_2024-03-11-15-41-04-1.png


Ndio maana Chadema na Wapenda haki wengine wameamua kukinukisha kwa wiki nzima Nchi nzima na Duniani kote .

Hifadhi tarehe hii .

Screenshot_2024-03-08-20-57-04-1.png
 
Mteuliwa katika mtumishi wa umma anazuiwa na sheria kushabikia chama cha siasa. Akikubali uteuzi huo hana namna nyingine zaidi ya kutii sheria.
 
Huyu hapa ni miongoni mwa Wasimamizi wa Uchaguzi wa Tanzania , sasa hata kama wewe ni kipofu wa Ubongo unadhani huyu anaweza kutenda haki yoyote ?

View attachment 2931499

Ndio maana Chadema na Wapenda haki wengine wameamua kukinukisha kwa wiki nzima Nchi nzima na Duniani kote .

Hifadhi tarehe hii .

View attachment 2931501
Huyu Mwamba ndiye alisababisha Maandamano Feb 16 , 2018 Kinondoni baada ya kukimbia Ofisi bila kuwapa Mawakala wa Upinzani barua za Utambulisho kwenye vituo vya uchaguzi.

Kitendo kile kilipelekea madhara makubwa yaliyosababisha Kifo cha Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji NIT Aquillina Aquiline.
 
Huyu Mwamba ndiye alisababisha Maandamano Feb 16 , 2018 Kinondoni baada ya kukimbia Ofisi bila kuwapa Mawakala wa Upinzani barua za Utambulisho kwenye vituo vya uchaguzi.

Kitendo kile kilipelekea madhara makubwa yaliyosababisha Kifo cha Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji NIT Aquillina Aquiline.
Katika unyama ule alishirikiana na Paulo Makonda na Lazaro Mambosasa
 
M
Huyu hapa ni miongoni mwa Wasimamizi wa Uchaguzi wa Tanzania , sasa hata kama wewe ni kipofu wa Ubongo unadhani huyu anaweza kutenda haki yoyote ?

View attachment 2931499

Ndio maana Chadema na Wapenda haki wengine wameamua kukinukisha kwa wiki nzima Nchi nzima na Duniani kote .

Hifadhi tarehe hii .

View attachment 2931501
Mbowe keshatoa amri mgombee ngazi zote, unampinga.,?
 
Back
Top Bottom