Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,926
- 3,054
Jana limetumwa tangazo la agizo la kufanyika kwa pre-form one, English course kutoka kwa makatibu tawala wa mikoa lililotoka OR-TAMISEMI.
Agizo hili limeelekezwa kwa walimu wa shule za sekondari za serikali.
Hivi ndani ya OR-TAMISEMI au wizara ya elimu, viongozi hawajui utofauti wa formal na
non-formal education?.
Kwa maana walimu wa serikali wapo kwa ajili ya kutoa formal education, na hii programu ya English course ni non-formal education.
Je, kuna malipo yatafanyika?.
Kuhusu muda wa kazi hakuna tatizo.
Walimu tuna kazi ngumu sana katika hii nchi.
MUNGU ATUBARIKI WALIMU WA TANZANIA.
Agizo hili limeelekezwa kwa walimu wa shule za sekondari za serikali.
Hivi ndani ya OR-TAMISEMI au wizara ya elimu, viongozi hawajui utofauti wa formal na
non-formal education?.
Kwa maana walimu wa serikali wapo kwa ajili ya kutoa formal education, na hii programu ya English course ni non-formal education.
Je, kuna malipo yatafanyika?.
Kuhusu muda wa kazi hakuna tatizo.
Walimu tuna kazi ngumu sana katika hii nchi.
MUNGU ATUBARIKI WALIMU WA TANZANIA.