JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Game Theory,
..itabidi niwatafute wataalamu wangu wa dini wanifafanulie kuhusu hatua anazoweza kuchukua Muislamu iwapo amekosa swala.
..pamoja na hayo COMPROMISE ingekuwa ni kuongeza muda wa kutoa heshima kwa marehemu Mzee wetu Rashidi Mfaume Kawawa. hiyo ingewapa muda Waislamu wengi zaidi kupata muda wa kuswali na kwenda kutoa heshima za mwisho kwa marehemu.
..kuhusu masuala ya kubadili dini mimi wala sina matatizo nayo. nimeshuhudia watu wengi sana wakibadili dini and huo nauchukulia kama uamuzi binafsi. kwani Kawawa angebadili dini mimi na wewe tungeathirika na kitu gani, na kwa kiasi gani?
..nimedokeza kuhusu suala la Alhaj Aboud Jumbe kwasababu naamini masuala haya ni binafsi na ikizidi kidogo ni ya kifamilia. Mzee Rashidi Kawawa alipaswa kuweka on the record kwamba anataka maziko yake yawe na namna gani. in his absence mke wake na watoto wake ambao wana-input ya jinsi ambavyo wangependa marehemu wao azikwe.
..kwa mtizamo wangu sidhani kama Muislamu yoyote yule ana haki ya kuibuka hapa na kudai yuko offended na jinsi taifa linavyoomboleza msiba wa Rashidi Kawawa. inawezekana vitabu na sheria za Kiislamu vinaelekeza hivyo, lakini that is not the way we operate in OUR TANZANIAN SOCIETY.
..mwisho, kwangu mimi, TAIFA KWANZA DINI BAADAYE.
..itabidi niwatafute wataalamu wangu wa dini wanifafanulie kuhusu hatua anazoweza kuchukua Muislamu iwapo amekosa swala.
..pamoja na hayo COMPROMISE ingekuwa ni kuongeza muda wa kutoa heshima kwa marehemu Mzee wetu Rashidi Mfaume Kawawa. hiyo ingewapa muda Waislamu wengi zaidi kupata muda wa kuswali na kwenda kutoa heshima za mwisho kwa marehemu.
..kuhusu masuala ya kubadili dini mimi wala sina matatizo nayo. nimeshuhudia watu wengi sana wakibadili dini and huo nauchukulia kama uamuzi binafsi. kwani Kawawa angebadili dini mimi na wewe tungeathirika na kitu gani, na kwa kiasi gani?
..nimedokeza kuhusu suala la Alhaj Aboud Jumbe kwasababu naamini masuala haya ni binafsi na ikizidi kidogo ni ya kifamilia. Mzee Rashidi Kawawa alipaswa kuweka on the record kwamba anataka maziko yake yawe na namna gani. in his absence mke wake na watoto wake ambao wana-input ya jinsi ambavyo wangependa marehemu wao azikwe.
..kwa mtizamo wangu sidhani kama Muislamu yoyote yule ana haki ya kuibuka hapa na kudai yuko offended na jinsi taifa linavyoomboleza msiba wa Rashidi Kawawa. inawezekana vitabu na sheria za Kiislamu vinaelekeza hivyo, lakini that is not the way we operate in OUR TANZANIAN SOCIETY.
..mwisho, kwangu mimi, TAIFA KWANZA DINI BAADAYE.