Tunaipokea treni ya mchongoko kwa shingo upande, ni kama ile ya zamani imechongwa kimchongo

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,295
21,435
Usanifu ni sanaa ya ubunifu!

Na ubunifu ni sayansi yenye vipimo ili kupata muonekano unaovutia. Katika hatua za utengenezaji huanza na michoro na mpangilio wa ndani (interior design)

Hii treni tuliyopokea tukiambiwa ni ya mchongoko. Ukitafuta ile curve ilivyo chongwa unaona kabisa ni mchongo ambao ni modified! Yaani ili niekeweke kirahisi natoa mfano huu.

Ili upate muonekano wa saloon car (mfano sura toyota crown) ni lazima usanifu kuanzia kwenye chassis (uchanja wa chini) ili ubalansi kimo cha siti, uonaji wa mbele, n.k haya yote huamua ufunge viti gani, boneti iwe saizi gani, injini ikae mkao gani n.k)

Lakini ukiichukua Noah au Hiace uichonge kupata muonekano wa Saloon car huwezi kuipata Lazima itagoma tu. Lazima igome kwasababu mgangilio wa awali wa viti na sakafu uko juu, hivyo jitihada za kuifyeka Hiace au Noah utabakia kwenye paa (Roof)

Ukiitazama treni yetu ni dhahili mboleshaji kaweka curve kuzunguka kichwa cha dereva, kale kadirisha ka ubavuni akamega kona moja ya juu!

Ukiendelea kuchunguza alivyoishusha ikamgomea maana kule mbele kabisa angepata engo kali kama mshale! Hivyo akaforce kibox na kuweka show kama toyota alphad new!

Wakati treni ya mchongoko Original kule mbele ile slope humalizikia kama YAI au ndege ndogo! Na ile shepu huwa inapatikana kwa kucurve juu na curve nyingine lazima itafutiwe chini zikutane kutokana na usanifu original!

Hii treni yetu mpya ukiitazama hata kama kipofu anaona kabisa haiko kama inavyotakiwa!

Lile umbo la Yai kule mbele ukiachilia kuongeza muonekano lakini hurahisisha penetration ya kuukata upepo hata matumizi ya Umeme/mafuta nguvu hupungua. Ndiyo maana ndege nazo ziko hivyo ili ziwe fasta.

Wamejitahidi kucurve kule chini wakaambulia sura ya alphad. Angalau linatembea wacha tulipokee tutapanda hivyohivyo kwa shingo upande. Huenda pesa yetu haitoshi kupata yale Original.

Hii ndiyo ile kwenye mechi wanaita unapigwa "home and away"
 
Usanifu ni sanaa ya ubunifu!

Na ubunifu ni sayansi yenye vipimo ili kupata muonekano unaovutia!
Katika hatua za utengenezaji huanza na michoro na mpangilio wa ndani (interior design)

Hii treni tuliyopokea tukiambiwa ni ya mchongoko!
Ukitafuta ile curve ilivyo chongwa unaona kabisa ni mchongo ambao ni modified!
Yaani ili niekeweke kirahisi natoa mfano huu!
Ili upate muonekano wa saloon car ( mfano sura toyota crown) ni lazima usanifu kuanzia kwenye chassis (uchanja wa chini) ili ubalansi kimo cha siti, uonaji wa mbele, n.k haya yote huamua ufunge viti gani, boneti iwe saizi gani, injini ikae mkao gani n.k)

Lakini ukiichukua Noah au Hiace uichonge kupata muonekano wa Saloon car huwezi kuipata Lazima itagoma tu!
Lazima igome kwasababu mgangilio wa awali wa viti na sakafu uko juu, hivyo jitihada za kuifyeka Hiace au Noah utabakia kwenye paa (Roof)

Ukiitazama treni yetu ni dhahili mboleshaji kaweka curve kuzunguka kichwa cha dereva, kale kadirisha ka ubavuni akamega kona moja ya juu!

Ukiendelea kuchunguza alivyoishusha ikamgomea maana kule mbele kabisa angepata engo kali kama mshale! Hivyo akaforce kibox na kuweka show kama toyota alphad new!

Wakati treni ya mchongoko Original kule mbele ile slope humalizikia kama YAI au ndege ndogo! Na ile shepu huwa inapatikana kwa kucurve juu na curve nyingine lazima itafutiwe chini zikutane kutokana na usanifu original!

Hii treni yetu mpya ukiitazama hata kama kipofu anaona kabisa haiko kama inavyotakiwa!

Lile umbo la Yai kule mbele ukiachilia kuongeza muonekano lakini hurahisisha penetration ya kuukata upepo hata matumizi ya Umeme/mafuta nguvu hupungua!
Ndiyo maana ndege nazo ziko hivyo ili ziwe fasta!

Wamejitahi kucurve kule chini wakaambulia sura ya alphad!

Angalau linatembea wacha tulipokee tutapanda hivyohivyo kwa shingo upande!

Huenda pesa yetu haitoshi kupata yale Original
lakini,
hiyo si ndio maana ya standard gauge rail on standard gauge railway 🐒

ingekua mchongoko 100% then ingekua ni zaidi ya standard gauge rail kwenye standard gauge railway, na hiyo ni hatari 🐒

hii imejengwa kua ya speed but with standard..
 
Shughuli ya kukunja bati na kuweka kwenye shape ya mchongoko mbona hata hapa Tz wahuni tunatengeneza tu watupe hizo deals, watu tunatengeneza body za bus za kichina higer inatoka kama ilivyo zhongtong kama yenyewe marcopolo G7 tunaipiga fresh kabisa
Serekali isiende kununua hivyo vichwa watuletee injini tu
 
Shughuli ya kukunja bati na kuweka kwenye shape ya mchongoko mbona hata hapa Tz wahuni tunatengeneza tu watupe hizo deals, watu tunatengeneza body za bus za kichina higer inatoka kama ilivyo zhongtong kama yenyewe marcopolo G7 tunaipiga fresh kabisa
Serekali isiende kununua hivyo vichwa watuletee injini tu
Kwamba sido wanaweza au siyo
 
Shughuli ya kukunja bati na kuweka kwenye shape ya mchongoko mbona hata hapa Tz wahuni tunatengeneza tu watupe hizo deals, watu tunatengeneza body za bus za kichina higer inatoka kama ilivyo zhongtong kama yenyewe marcopolo G7 tunaipiga fresh kabisa
Serekali isiende kununua hivyo vichwa watuletee injini tu
It sounds great,,, shida hatuaminiani kabisa ngozi nyeusi.
 
Nilijua tu usimba na uyanga utatawala hapa, team kusifu vs team kuponda, team mchongoko vs team ordinary
 
Nilijua tu usimba na uyanga utatawala hapa, team kusifu vs team kuponda, team mchongoko vs team ordinary
Yanga kushangilia zawadi ya kusafirishwa bure ni haki yao, simba kulaumu kwanini wao hawasafirishwa ni haki yao!

Maamuzi ya kupiga au kuacha ni ya mpigaji!
Lakini maamuzi ya kulia au kunyamaza ni ya mpigwaji!

Walipa kodi wakililia matumizi ya kodi wanajua machungu yake
 
Usanifu ni sanaa ya ubunifu!

Na ubunifu ni sayansi yenye vipimo ili kupata muonekano unaovutia!
Katika hatua za utengenezaji huanza na michoro na mpangilio wa ndani (interior design)

Hii treni tuliyopokea tukiambiwa ni ya mchongoko!
Ukitafuta ile curve ilivyo chongwa unaona kabisa ni mchongo ambao ni modified!
Yaani ili niekeweke kirahisi natoa mfano huu!
Ili upate muonekano wa saloon car ( mfano sura toyota crown) ni lazima usanifu kuanzia kwenye chassis (uchanja wa chini) ili ubalansi kimo cha siti, uonaji wa mbele, n.k haya yote huamua ufunge viti gani, boneti iwe saizi gani, injini ikae mkao gani n.k)

Lakini ukiichukua Noah au Hiace uichonge kupata muonekano wa Saloon car huwezi kuipata Lazima itagoma tu!
Lazima igome kwasababu mgangilio wa awali wa viti na sakafu uko juu, hivyo jitihada za kuifyeka Hiace au Noah utabakia kwenye paa (Roof)

Ukiitazama treni yetu ni dhahili mboleshaji kaweka curve kuzunguka kichwa cha dereva, kale kadirisha ka ubavuni akamega kona moja ya juu!

Ukiendelea kuchunguza alivyoishusha ikamgomea maana kule mbele kabisa angepata engo kali kama mshale! Hivyo akaforce kibox na kuweka show kama toyota alphad new!

Wakati treni ya mchongoko Original kule mbele ile slope humalizikia kama YAI au ndege ndogo! Na ile shepu huwa inapatikana kwa kucurve juu na curve nyingine lazima itafutiwe chini zikutane kutokana na usanifu original!

Hii treni yetu mpya ukiitazama hata kama kipofu anaona kabisa haiko kama inavyotakiwa!

Lile umbo la Yai kule mbele ukiachilia kuongeza muonekano lakini hurahisisha penetration ya kuukata upepo hata matumizi ya Umeme/mafuta nguvu hupungua!
Ndiyo maana ndege nazo ziko hivyo ili ziwe fasta!

Wamejitahidi kucurve kule chini wakaambulia sura ya alphad!

Angalau linatembea wacha tulipokee tutapanda hivyohivyo kwa shingo upande!

Huenda pesa yetu haitoshi kupata yale Original.

Hii ndiyo ile kwenye mechi wanaita unapigwa "home and away"
Inaonekana bila treni zenye pua kali kama mkuki hatutaridhika.
 
Zakwao..
Screenshot_20240404-095348_Opera Mini.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20240404-095312_Opera Mini.jpg
    Screenshot_20240404-095312_Opera Mini.jpg
    936.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom