Wakuu,
Kwanza naomba kudeclare kuwa mie si CHADEMA. Nimekuwa nikifuatilia majibishano ya John Shibuda na watu a chama chake. Fine. Nikajiuliza.........
Kweli kwa sasa nchi yetu inahitaji raisi wa mipasho? Yani mtu anayeropoka ropoka hivi....kama hawezi kuudhibiti mdomo wake....what about akili yake? Just thinking aloud
Kwanza naomba kudeclare kuwa mie si CHADEMA. Nimekuwa nikifuatilia majibishano ya John Shibuda na watu a chama chake. Fine. Nikajiuliza.........
Kweli kwa sasa nchi yetu inahitaji raisi wa mipasho? Yani mtu anayeropoka ropoka hivi....kama hawezi kuudhibiti mdomo wake....what about akili yake? Just thinking aloud