Hapo kwanza tujue kuwa mtanzania yeyote yule mwenye akili timamo ni usalama wataifa.Nasema hv kwa sabbu vko vtendo vingi vinafanyika vya kuihujumu nchi na vinasabbsha nchi iingie kwenye hasara kubwa sana. Vitendo hv kama wananchi wangejua haki yao ya kutoa taarfa nchi yetu ingekua mbali sana.