Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Mkuu hakuna mpepelezi anayeongoza kama akina Jack Baur na kina Wily Gamba, Joram Kiango n.k.Kaka nimeona. Nadhani uko sawa. ukiangalia harakaharaka utagundua kigezo kikubwa ni hali ya usalama. kwa mfano ukiangalia Israel, Pakistan na India ambao ndio wanaongoza hali zao za usalama ni tete sana. Australia ambao wanashika namba 10 unaona kuwa wamejikita kwenye masilahi yao ya kiuchumi zaidi (na hasa ni sector ya madini). CIA wao wako kila mahala lakini usiri wao wa habari sio mzuri ingawa wanawezeshwa kuliko agency yoyote duniani. Swali la ziada, Hivi hii dhana ya kuwa na mpelelezi anayeongoza (kama inavyopenda kuwekwa kwenye sinema na vitabu vya hadithi) huwa ni ya kweli? kwa mfano james bond, willy Gamba, Joram kiango n.k je? ni kweli huwa kuna mpelelezi anayeongoza kati ya wenzake na kujichukulia umaarufu?
Ila kunakuwa na Unit flan ndani ya agencyambayo ndio inakuwa inategemewa sana lakini sio mtu individual.