YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,906
- 51,928
Gari isiyo na namba isipokuwa barabarani ni sawa na doli tuSikujua kama una akili ndogo kiasi hicho. Hujui kama magari huwa yanatengenezwa kwanza, halafu namba huja baadaye! Halafu, hata bajaji hatuiti ni doli, sembuse gari zuri kama lile? Acha wivu na roho mbaya.
Hiyo ya Kipanya aiingize barabarani kwanza watu waone iko fit? lakini imekaa tu hilo ni sawa na doli tu ni sawa na lile helikopta mwingine alitengeneza Kule mbeya ambalo haliruki hadi leo liko ardhini tu