comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,226
- 5,949
Kunatofauti ya kuamua na kusimamia maamzi. Ujenzi wa shule za kata nchi nzima ulikuwa uamuzi wa CCM na ulikuwa kwenye ilani ya uchaguzi 2005-2010
USHAHIDI HUU HAPA
Elimu ya Sekondari
61. CCM itazielekeza Serikali kuchukua hatua za kuendeleza elimu ya sekondari katika kipindi cha 2005 - 2010 kama ifuatavyo:-
(a) Kusimamia kwa ukamilifu utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES
(b) Kuendelea kutekeleza azma ya kuwa na angalau shule moja ya sekondari kwa kila Kata.
(c) Kuongeza idadi ya wanafunzi wa Kidato cha 1-4 kufikia asilimia 50 ya watoto wa rika lengwa la umri wa miaka 14-17 ifikapo mwaka 2010.
(d) Kuongeza idadi ya wanafunzi wa Kidato cha 5-6 kufikia asilimia 25 ya vijana wa rika lengwa la umri wa miaka 18-19 ifikapo mwaka 2010.
(e) Kuimarisha ubora wa elimu ya sekondari na kuongeza viwango vya kufaulu katika Kidato cha 4 na cha 6.
(f) Kujenga nyumba za walimu na kuendelea kuboresha maslahi yao.
USHAHIDI HUU HAPA
Elimu ya Sekondari
61. CCM itazielekeza Serikali kuchukua hatua za kuendeleza elimu ya sekondari katika kipindi cha 2005 - 2010 kama ifuatavyo:-
(a) Kusimamia kwa ukamilifu utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES
(b) Kuendelea kutekeleza azma ya kuwa na angalau shule moja ya sekondari kwa kila Kata.
(c) Kuongeza idadi ya wanafunzi wa Kidato cha 1-4 kufikia asilimia 50 ya watoto wa rika lengwa la umri wa miaka 14-17 ifikapo mwaka 2010.
(d) Kuongeza idadi ya wanafunzi wa Kidato cha 5-6 kufikia asilimia 25 ya vijana wa rika lengwa la umri wa miaka 18-19 ifikapo mwaka 2010.
(e) Kuimarisha ubora wa elimu ya sekondari na kuongeza viwango vya kufaulu katika Kidato cha 4 na cha 6.
(f) Kujenga nyumba za walimu na kuendelea kuboresha maslahi yao.