mwana wa africa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 548
- 128
kuna wakati nilikuwa stendi ya Arusha na kuna wajaririamali walikuwa wanauza cd za hotuba mbalimbali na matukio ya viongozi walioheshimika sana Africa Kama mwl NYERERE na kujinyakulia CD 2. Naomba kama kuna mtua anaweza kunisaidia kupata mwawasiliano na wahusika. kwa sasa nipo Tanga mjini kikazi.