MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Sasa unalialia nn?Usiyempenda kaja.Bado mnamiaka miwili ya kumwaga povu tenaBundle yangu huwezi kunipangia bhana
Sasa unalialia nn?Usiyempenda kaja.Bado mnamiaka miwili ya kumwaga povu tenaBundle yangu huwezi kunipangia bhana
Sawa kiongoziSawa
Ficha upumbavu wakoni upuuuzi kiwango A kuhisi kumpigia kura kwa wingi na kupata hiyo Tuzo kunaweza kuleta maji,umeme wa uhakika,miundombinu bora,usalama wa uhakika n.k,
truth to be told, Kagame ana deserve better japo ni same type of people ya "keep silence...." Na one man ashow.....
Kuna kura ya kuchagua dikteta,naona madikteta wawili hapo juu na mmoja ndio yule anayetakiwa akatubuWadau
JPM anazidi kumuacha mbali Paul Kagame:
1. Mh Rais Dr.Magufuli 46.51%
2. Mh Paul Kagame 34.98%
3. Mh Rais Nana Addo 10.33%
Hadi dakika hii MH RAIS wetu anaongoza...keep voting.
Viva JPM
Viva CCM
Viva Tanzania
Du hicho kijiji!akipata hiyo tuzo, alete maji na umeme huku kata ya Ndumbimbolwa, kijiji cha Mzwatapumbu
ujinga ni mzigo.. acha ujinga ..mcheza kwao utunzwa kwa heshima atayopewa rais wetu atapata moyo zaidi wa kututumikia zaidi watanzania viva magufuli viva viva tanzania viva..nimeshapiga kula yangu teyari.ni upuuuzi kiwango A kuhisi kumpigia kura kwa wingi na kupata hiyo Tuzo kunaweza kuleta maji,umeme wa uhakika,miundombinu bora,usalama wa uhakika n.k,
truth to be told, Kagame ana deserve better japo ni same type of people ya "keep silence...." Na one man ashow.....
Nenda kalale huko wanaume tukamilishe mipango yetu! Hizo hesabu ni kwa mujibu wa kichwa chako na wala si vinginevyo!Sasa si mpigie huyo UK au hamia Kenya ukitaka maana huyu jamaa anamiaka kama saba mbele ka sio miwili na hali hii unaweza pata stroke bure.
Wewe piga kura mwenyewe usitulazimishe kupigia kura mhalifu, atubu kwanza.Hapo ndo uwezo wako wa kufikiri ulikokufikisha. Hv hapo kwenu ubasha manake ni nini?
Kwenu ni kawaida kwa matokeo ya kupika, najua mmetumwa mtafute watu wa kupiga kura hata 20 mtu mmoja kwa kutumia majina tofautiWadau
Hadi sasa Rais Paul Kagame ameachwa kwa mbali sana na Rais Dkt John Pombe Magufuli
1. JPM (45.45%)
2. PK (35.96%)
Happy new year!
Na ameshashinda sasa kunywa sumu ufe!! Kwanza huna faida kwenye nchi yetu TZ!! Unaruhusiwa tu kutoa mapovu!!Bora nipige kura kwa 'Waliotangulia mbele za Haki'
Huyu uliyempendekeza au unayemnadi kwa pumzi zako zote ' Big No' unataka wafu wafufuke kutuzaba makofi.
Mtangulize Mungu kwenye hili la miaka 7 mkuu. Watu wanadondoka sana kila mwaka. Huyo unaye mwambia anaweza pata Stroke mnaweza kumwacha na afya njema tu.Sasa si ukampigie huyo UK au hamia Kenya ukitaka maana huyu jamaa anamiaka kama saba mbele ka sio miwili na hali hii unaweza pata stroke bure.