Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Jamaa anapenda sana kuimba bongo flava hata kwenye mambo yanayohitaji umakini! Umeme ni shida baada ya miaka 50.....hawa jamaa ni yak yak!
Rev, kwanza karibu back.
The list is impresive lakini nadhani tunapoteza muda kujadili hili. hao wenyewe kwanza inaonekana hawajui waliahidi nini maana juzijuzi hapa walisema kwua ndo wameunda timu ya kufuatilia na kuorodhesha ahadi zote zilizotolewa na JK wakati wa kampeni. naona umewasaidia kupunguza kazi yao.
Kama wangekuwa makini, nadhani wangekuwa wanajua ahadi zote mara tu baada ya kampeni kwisha na wala wasingehitaji kulipana posho kuanza kuzunguka kuorodhesha ahadi.
Si ajabu kuwa hiyo kazi ya kuorodhesha ahadi ikachukua miaka miwili, kuzichambua mwaka mmoja na kuandaa mkakati wa utekelezaji mwaka mwingine na hivyo kubakiwa na mwaka mmoja tu wa kuzitekeleza.
We are being atken for a ride