Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
Wakuu salaam sana,ni mara ya kwanza kukanyaga jukwaa hili.
Katika magazeti ya leo kulikuwa na habari kuwa tume ya kuratibu ada kwa shule binafisi itaanza kazi januari,na tume itapanga bei moja kwa shule zote na ikitokea kuna shule inataka kuweka ada ya bei ya juu lazima ipewe kibali maalum.
My take,january ndio shule zinafunguliwa na hao wameliki wameshaarifiwa au ndio yale ya mgomo kama kwenye mafuta.
Naomba kuwasilisha hoja.
Katika magazeti ya leo kulikuwa na habari kuwa tume ya kuratibu ada kwa shule binafisi itaanza kazi januari,na tume itapanga bei moja kwa shule zote na ikitokea kuna shule inataka kuweka ada ya bei ya juu lazima ipewe kibali maalum.
My take,january ndio shule zinafunguliwa na hao wameliki wameshaarifiwa au ndio yale ya mgomo kama kwenye mafuta.
Naomba kuwasilisha hoja.