Tulizuia vipanya tumeruhusu Bajaj

aka2030

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
2,630
3,579
Kwa kweli moja ya sababu ya kuzuia vipanya(hiace) kuingia katikati ya Jiji ilikuwa ni kupunguza msongamano, namakosa yabkibarabani mengi waliyokuwa wanafanya madereva vipanya

Hii kero sasa inaletwa na hizi Bajaj

Kwanza zimekuwa nyingi kupita hata mahitaji.

Huko mjini unaweza usigongwe na gari bajaj ikakugonga.

Gari sasa 80% ukiona imebonyea jua ni Bajaj

Zipo nyingi hawana nidhamu.

Mamlaka hebu walitazame hili
 
.... Bajaji na bodaboda ndio jeshi letu la kutuvusha kwenye chaguzi! Ukifanya mistake, mpinzani wako anachukua credits. In short, hizo "laana" zimegeuka siasa hakuna anayethubutu kuchukua maamuzi.

Mnakumbuka kiongozi mmoja alivyojitwalia sifa (akiwa Arusha) mara baada ya kauli ya Lema kuhusu kazi ya "laana"? Hadi akaenda kupokea maandamano yao wakati kimsingi ndiye alitakiwa awe wa kwanza "kuweka miji safi". Kuna kitu hapo?
 
.... Bajaji na bodaboda ndio jeshi letu la kutuvusha kwenye chaguzi! Ukifanya mistake, mpinzani wako anachukua credits. In short, hizo "laana" zimegeuka siasa hakuna anayethubutu kuchukua maamuzi.

Mnakumbuka kiongozi mmoja alivyojitwalia sifa (akiwa Arusha) mara baada ya kauli ya Lema kuhusu kazi ya "laana"? Hadi akaenda kupokea maandamano yao wakati kimsingi ndiye alitakiwa awe wa kwanza "kuweka miji safi". Kuna kitu hapo?
Sawa ila
Linakero
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom