Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,203
Umezoea kudinywa eeh! Mie nsha okoka nsha acha kuwabashia, tafuta basha mwingine.Acha us.nge dogo..
Umezoea kudinywa eeh! Mie nsha okoka nsha acha kuwabashia, tafuta basha mwingine.Acha us.nge dogo..
Degree ya kwanza sikua seriaz, starehe niliziendekeza sana, kwa semester nilikua nahudhuria darasani mara moja... Sikua proud hata nilivyomalizaSasa nini kimekufanya urudie digrii ? Na kwa nini hukuichagua hio digrii mapema?
Wewe ndio unatafuta basha waKinyaki.. Nenda Pwani huko ndio utapata. Acha kushoboka na Wanyakyusa.Umezoea kudinywa eeh! Mie nsha okoka nsha acha kuwabashia, tafuta basha mwingine.
Wenzio tulikuwa hatuonekani mpaka mitihani kisa kusaka shilingi na upper second hii hapaDegree ya kwanza sikua seriaz, starehe niliziendekeza sana, kwa semester nilikua nahudhuria darasani mara moja... Sikua proud hata nilivyomaliza
DaahhWenzio tulikuwa hatuonekani mpaka mitihani kisa kusaka shilingi na upper second hii hapa
GPA za chaki tunaziita. Halafu unakuta mwenye GPA ana sup wakati wakali GPA za chaki unakuna mkeka hauna sup.Kuna sisi wenye GPA za kutuzuia tusidisco wala hatuwazi kabisa yani
Asilimia kubwa ya GPA za chaki huwa tunakula clean sheet bila sup yaa C flatGPA za chaki tunaziita. Halafu unakuta mwenye GPA ana sup wakati wakali GPA za chaki unakuna mkeka hauna sup.
IQ haipimwi kwa Ufaulu wa mitihani pekee, nawewe hauna justification ya kumwambia mwenzio hawezi kuwa innovativeSiwezi kikupongeza kwa hio statistics hio ni bachelor of art. Nimesema waliopata 4+(distinction).
kiujumla upo ktk average IQ level aytound 100 kwenye ulimwengu wa akili. Kiujumla huwezi Innovate kitu kwa IQ hio bora ulivyohama hama fani, hata mimi nipo average IQ.
Ila umetumia mda na pesa vibaya kama hujilipii ada maana yake utapata deni la milioni zaidi ya 30 kwa kozi hizo mbili.
Je hakuna post graduate ya statics mpaka ukaamua urudie digrii ?
Hio fani haina ajira au haukuwa competent, kwa nini ulichukua maamuzi magumu kama hayo?
Kuna mkufunzi mmoja alitufundisha kuwa msijiendeleze kielimu horizontally but vertically.
Heshima yenu wakuu..
Tuliopata GPA za 3.5 na kuendelea tukutane hapa kubadilishana mawazo positively. Je GPA kubwa imekusaidia baada ya maisha ya chuoni na kwenye kutafuta riziki? Ni zipi fursa ulizozipata na zilizokufaidisha kutokana na GPA yako kubwa?
Binafsi nilipata GPA ya 4.1 from the school of Architecture - Ardhi University. Lakini GPA haijawahi kunisaidia lolote kwenye fursa za utafutaji, maana mimi ni mjasiriamali tu.
Karibuni wadau.
Oppose kwa ushahidi. GPA below 4 unategemea ufanye innovation au invention! Very layer case and for exceptional only.IQ haipimwi kwa Ufaulu wa mitihani pekee, nawewe hauna justification ya kumwambia mwenzio hawezi kuwa innovative
Wapi nimeandika hivyo?IQ haipimwi kwa Ufaulu wa mitihani pekee,