Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

Sie wa la form 4 B tutulie tu aunt
Joo uone mashamba ya aunt yangu Antonnia ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… kilimo utii wa mgongo.. au babu yako Grahams anawaonea wivu na G.P.A 2.1
Screenshot_20230306_173233_Gallery.jpg
Screenshot_20230306_173218_Gallery.jpg
Screenshot_20230306_173246_Gallery.jpg
 
Auwwwwweeehhhhhh๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜! Yote haya ni yetru mjomba Walai tuko vizuri!!!
Babu ake sophy Grahams ni noumaaa nanusuuuu yulee ana mbunu za kilimo ni balaaa! ako vizuri mnoo !!
Kilimo uti wa mgongo aunt ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
Tutalima hadi mwisho wa dunia ...
Hakika sie ni wa kulima tunao chipukia .. tupo vizuri sanaa aunt yangu
 
Binafsi nina GPA ndogo yaani pass ila kuna muda naonaga ina faida na kuna muda ina hasara. baada ya kumaliza chuo nilikuwaga sina mpango kabisa wa kuomba ajira sababu nilikuwa naona siwezi pata kazi ya maana na hii GPA na ndo kitu kilichofanya nione faida ya GPA ndogo sababu nilikomaa mtaani bila ya kuwa na mawazo ya kuajiliwa na naona matokeo yake ni mazuri zaidi kuliko jamaa zangu walio ajiliwa wengi bado wanajitafuta. Hasara zake waajili wengi wa Tanzania wanaangalia GPA wanaamini GPA kubwa ndio uwezo mkubwa hivyo ni mgumu kupata ajira ya maana kama huna GPA kubwa unless uwe na connection ila binafsi siamini katika hilo sababu matokeo ya chuo yanatokana na mambo mengi sana kwa kiasi kikubwa hayana uhusino na uwezo wa mtu.
 
Heshima yenu wakuu..

Tuliopata GPA za 3.5 na kuendelea tukutane hapa kubadilishana mawazo positively. Je GPA kubwa imekusaidia baada ya maisha ya chuoni na kwenye kutafuta riziki? Ni zipi fursa ulizozipata na zilizokufaidisha kutokana na GPA yako kubwa?

Binafsi nilipata GPA ya 4.1 from the school of Architecture - Ardhi University. Lakini GPA haijawahi kunisaidia lolote kwenye fursa za utafutaji, maana mimi ni mjasiriamali tu.

Karibuni wadau.
GPA ipimwe kwa mambo mengi ikiwemo Chuo ulichosoma. Kuna Vyuo GPA zinagawiwa kama njugu ila utendaji kazi (performance) za graduates wao makazini ni changamoto.

Sina maana ya kufanya ubaguzi, lakini kamwe huwezi kulinganisha GPA ya Chuo changu Mzumbe au SUA na GPA ya Muslim University Morogoro.

Ipo tofauti kubwa sana kati ya 'Proper qualifications' na 'Perfomance'. Waulize waajiri ni mashuhuda katika hili.

Kuna graduate hata ukimwambia aandike barua tu ya kuomba kazi ni mtihani mkubwa kwake, inashangaza na kusikitisha sana.

Pale Mzumbe nimesoma kama niko Sekondari. Ni mtifuano mwanzo mwisho.
 
Haya maisha yana changamoto sana nimevuka mabonde na milima lakini GPA haijawahi kunisaidia ni mavyeti tu.
Nimejiajiri hata bila elimu ningeweza kujiajiri, wakati mwingine nadhani kwa elimu ya Olevel ilitosha kabisa maana hata sioni imesaidia nini.
Maisha ni ubunifu wako siyo elimu kubwa kuwa Tajiri hakuhitaji elimu ni wewe kukabiliana na changamoto ikiwa pamoja na kutafuta vyanzo sahihi kukuingizia kipato na mtandao wa fursa.
 
Binafsi nina GPA ndogo yaani pass ila kuna muda naonaga ina faida na kuna muda ina hasara. baada ya kumaliza chuo nilikuwaga sina mpango kabisa wa kuomba ajira sababu nilikuwa naona siwezi pata kazi ya maana na hii GPA na ndo kitu kilichofanya nione faida ya GPA ndogo sababu nilikomaa mtaani bila ya kuwa na mawazo ya kuajiliwa na naona matokeo yake ni mazuri zaidi kuliko jamaa zangu walio ajiliwa wengi bado wanajitafuta. Hasara zake waajili wengi wa Tanzania wanaangalia GPA wanaamini GPA kubwa ndio uwezo mkubwa hivyo ni mgumu kupata ajira ya maana kama huna GPA kubwa unless uwe na connection ila binafsi siamini katika hilo sababu matokeo ya chuo yanatokana na mambo mengi sana kwa kiasi kikubwa hayana uhusino na uwezo wa mtu.
Uongo mtakatifu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom