Wanajamii !!
1. Naomba msaada wenu kuhusu namna GPA za SUA zinavyopatikana. Kwa uwezo wangu mdogo wa hesabu nimekuja kugundua kuwa ukokotoaji wa GPA katika SUA uko tofauti kabisa na vyuo vikuu vingine hapa nchini. Kwani hutumia mfumo wa raw marks:
GPA calculation as per SUA is:
Y= 0.024X + 2.6 for (A; 75-100 marks; 4.4 to 5.0 GPA): Y=0.08X - 1.6 for (B+;70-74.9 marks; 4.0 to 4.39 GPA): Y=0.1X-3 for (B;60-69.9 marks; 3.0 to 3.99 GPA): Y=0.1X-3 for (C; 50-59.9 marks; 2.0 to 2.99 GPA): Y=0.1X-3 for (D; 40-49.9 marks; 1.0 to 1.99 GPA) and Y=0.025X for (E; 0-39.9 marks; 0.0 to 0.99 GPA).
All ranging from Excellent, Very Good, Good, Satisfactory, Marginal Fail and Absolute Fail respectively. Where: Y= Grade point and X=Raw marks (%).
Wakati vyuo vingine kwa mfano A ni A tu hata kama ni 100 ama 80, wote hawa wako katika kundi moja. Hivyo basi ukichukua matokeo ya mwanafunzi wa SUA na kukokotoa kwa mifumo hii miwili unapata GPA tofauti kabisa, yaani wa vyuo vingine mfano UDSM atapata GPA kubwa zaidi. Jamani TCU sijui wanalijua hili, maana limekuwa likiwaathiri wanafunzi wengi wa SUA katika soko la ajira hasa ya kufundisha vyuo vikuu na taasisi za utafiti maana huhitaji GPA zaidi ya 3.8, jamani naomba kuwasilisha kama kuna mtu anaweza kufafanua vizuri itatusaidia sana.
2. Kuhusu ajira za ualimu kwa Tutorial Assistants kuwataka kuwa na GPA ya kuanzia 3.8 ni kuwanyima fursa wale wote wenye 3.5 na kuendelea ili hali nao pia wapo katika kundi la pili la ufaulu, na wana uwezo mkubwa wa kufundisha.
Ninawafahamu rafiki zangu wengi tu ambao wana GPA 3.5 lakini uwezo wao hauna mfano hata hao wenye GPA za juu hawawafikii. Nawaomba TCU waliangalie hili, maana si kila wakati GPA kubwa ndo inatoa picha ya candidate bora.
Ukichunguza sana vyuo vingi bora barani afrika hata ulaya wanataka tu first class ama upper second, ije hapa tanzania ambapo kuna GPA nyingi tu kubwa wamepewa wanafunzi isivyo halali nawasilisha
1. Naomba msaada wenu kuhusu namna GPA za SUA zinavyopatikana. Kwa uwezo wangu mdogo wa hesabu nimekuja kugundua kuwa ukokotoaji wa GPA katika SUA uko tofauti kabisa na vyuo vikuu vingine hapa nchini. Kwani hutumia mfumo wa raw marks:
GPA calculation as per SUA is:
Y= 0.024X + 2.6 for (A; 75-100 marks; 4.4 to 5.0 GPA): Y=0.08X - 1.6 for (B+;70-74.9 marks; 4.0 to 4.39 GPA): Y=0.1X-3 for (B;60-69.9 marks; 3.0 to 3.99 GPA): Y=0.1X-3 for (C; 50-59.9 marks; 2.0 to 2.99 GPA): Y=0.1X-3 for (D; 40-49.9 marks; 1.0 to 1.99 GPA) and Y=0.025X for (E; 0-39.9 marks; 0.0 to 0.99 GPA).
All ranging from Excellent, Very Good, Good, Satisfactory, Marginal Fail and Absolute Fail respectively. Where: Y= Grade point and X=Raw marks (%).
Wakati vyuo vingine kwa mfano A ni A tu hata kama ni 100 ama 80, wote hawa wako katika kundi moja. Hivyo basi ukichukua matokeo ya mwanafunzi wa SUA na kukokotoa kwa mifumo hii miwili unapata GPA tofauti kabisa, yaani wa vyuo vingine mfano UDSM atapata GPA kubwa zaidi. Jamani TCU sijui wanalijua hili, maana limekuwa likiwaathiri wanafunzi wengi wa SUA katika soko la ajira hasa ya kufundisha vyuo vikuu na taasisi za utafiti maana huhitaji GPA zaidi ya 3.8, jamani naomba kuwasilisha kama kuna mtu anaweza kufafanua vizuri itatusaidia sana.
2. Kuhusu ajira za ualimu kwa Tutorial Assistants kuwataka kuwa na GPA ya kuanzia 3.8 ni kuwanyima fursa wale wote wenye 3.5 na kuendelea ili hali nao pia wapo katika kundi la pili la ufaulu, na wana uwezo mkubwa wa kufundisha.
Ninawafahamu rafiki zangu wengi tu ambao wana GPA 3.5 lakini uwezo wao hauna mfano hata hao wenye GPA za juu hawawafikii. Nawaomba TCU waliangalie hili, maana si kila wakati GPA kubwa ndo inatoa picha ya candidate bora.
Ukichunguza sana vyuo vingi bora barani afrika hata ulaya wanataka tu first class ama upper second, ije hapa tanzania ambapo kuna GPA nyingi tu kubwa wamepewa wanafunzi isivyo halali nawasilisha