Tuliowahi kugonganisha "magari", ulichezaje kutatua msala?

Hadi ufike mbinguni naona utakuwa umechoka...yaani hawa walokole wanaamini sana kidogo kuna kauchawi ndani yake...kwa hiyo ulimpa mwenzio jukumu la kukemea pepo hewa
Hakukua na pepo Wala Nini, uhuni wangu TU mkuu.
 
Kipindi fulani nilikuwa Moshi kikazi nikabanwa na ukame nikaanza msako. Karibu na kazini kulikuwa na mawakala wa mpesa wazuriiii matoto mawili ya kichaga kwenye duka moja. Nikapambana nikapata namba ya Pisi A,nikamkomalia akaja mpaka hotel. Nikaweka mitego ya kula kimasihara akachomoa ananiambia nimtongoze kwanza 🤣🤣🤣

Nikamwambia sawa basi naanza kukutongoza...nikampa mistari bado akakataa kuliwa, anasema umenitongoza inabidi unipe muda nikufikirie. Pumbaaaavu. Akaja hotel kama mara 2 hivi zote akanikazia,habati mbaya mimi huwa ziwezi ku force mwanamke. Tukapiga stori akasepa.

Kesho yake ilikuwa J2 yule pisi A haendi job ila pisi B nikamkuta Mpesa. Nikamtania tania pale,nikampa business card. Aiseee huyu alikuwa na moto,tukachat sana mwisho akaniambia nimtoe out.🤣🤣. Nikamwambia mji una baridi saba uje hotel kwangu tujifungie room unywe ule unachotaka. Nikamtajia hotel na room namba na kila kitu.

Saa 12 Pisi B ikanisihi nisiiangushe imeshajiandaa. Daaa mwanangu ilipofika saa 1 nasikia mlango unagongwa,nikajua Pisi B ndani ya nyumba. Kufungua nakutana na Pisi A inaingia bila kukaribishwa...Kichwa kikawaka moto 🤣🤣🤣🤣. Nikaanza kuichana mbona umekuja bila taarifa.eti ooh hapa ni kwa mpenzi wangu sio lazima nitoe taarifa. Daaah nikajisemea hili toto puuuzi kweli kwanza mbususu linanibania.

Kidogo tu Pisi B inapiga simu ipo reception inasema mhudumu kamzuia awasiliane kwanza na mimi( mhudumu aliona aniokoe maana alishtukia nitagonganisha magari 🤣🤣🤣)

Nikaiacha Pisi A pale room ikichezea simu,nikatoka nje kupambana. Nikaitoa Pisi B nje kwenye viti niipange. Ikaanza kunikoromea twende tukaongelee ndani,halafu kwa nini sijampa taarifa mhuduma kama anakuja. Hapo wakuu jasho linanitoka balaa.
Nikamtanganya mama yangu mdogo ana Corona yupo ICU kwa hiyo inabidi niende benki niwatumie pesa ndo maana siko sawa.

Huku Pisi A kule anapiga simu kujua kama nimemkimbia. Hakuwa na jinsi maana nilikuwa nimemfungia. Sasa huku Pisi B akang'ania nimuache room nitamkuta.

Nikiwa naamini kabisa hawa watoto wamepanga mchezo waniaibishe, nikamuacha pale nje nikaamua kusepa mitaani na boda kama naelekea ATM

Kumbe huku nyuma Pisi B alipoona mhuduma amekuwa busy akaenda room kwangu kagonga ili kujionea kama nina demu mle au nina shida kweli. Alivyogonga mwenzie ndani akaitika akinua ni mimi "Wewe umesahau kama umeondoka na fungua". Pisi B ikawa imehisi ile sauti ni ya mwenzie ikabidi imsemeshe hawakuelewana vizuri ikabidi impige simu yake,ikasikia simu inaita chumbani 🤣🤣🤣🤣

Basi ikawa imeishiwa pozi itaamua kusepa tu. Mhudumu aliponipa taarifa ameondoka nikarudi najisikia aibu balaa,daah hivi mimi ndo nishakuwa malaya hivi mpaka nagonganisha mademu 😌😌😌😌

Kwa hiyo nikabidi nimchane ukweli Pisi A kwamba yeye na kunibania ndio kasababisha yote hayo. Mimi nilikuwa na ukame uliofika hatua mbaya sasa yeye hakuwa tayari kunisaidia.

Ikanilaumu sana na kuniona malaya,ikanitaka nifute namba yake na nisimtafute tena. Nikamwambia isiwe taabu,chukua simu futa kila kitu chako humu. Ikawa End of Story na Pisi A.

Alipoondoka tu nikampigia Pisi B,ikasema haiko mbali imeamua kulewa kupunguza mawazo kwa jinsi nilivyonfanyia. Nikamkuta pale nikamuomba msamaha na kumpa ukweli woote.

Ikaniambia achana na yule mtoto mdogo,twende ukanifaidi mpaka asubuhi mpaka ukinai mwenyewe 😋😋😋😋😋

.....to be continued
Aloo watasha mna mbinu aisee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
balaa zito mkuu.

Mimi nakumbuka nilishawah kuwa na pisi moja hivi ya kizaramo iliwahi kunikubali kinoma kwasababu ya show.

Ile pisi ilihamia hadi geto, tulikuwa tunapeana show like tunacheza porn ni show za kukata na shoka+wet f**ck mpaka ndugu zangu wakaanza kumfahamu.

Sasa kuna siku nipo narudi mishe nikakutana na manzi moja kali sana ya kitanga kituo cha daladala nikamchombeza stor za hapa na pale+kugombania gari pamoja nikamuwahia seat tukakaa piga stor nikamuachia mawasiliano.

Sasa tuliwasiliana baadae akaniahidi weekend atakuja kupajua geto, sasa jumamos mim huwa nawah kurud job kwahyo hatukukutana ila aliniambia kesho yake akiwa anajiandaa kuja atanichek.

Kweli kesho yake mapema tu asubuhi akanitaarifu, nikampanga bibie wa kizaramo kwamba jumapili sipo so asije akasema poa. Dah kisanga ndo kilipoanzia hapo

Bibie yule wa kitanga akaja nikamchek boda boda wangu mmoja hivi pale kituoni aniletee my new kimwana wangu aje anipe mambo ya kitanga mwanangu wa boda hakuniangusha akaniletea mpaka mlangoni.

Tumeingia ndani mtoto akarekebisha diko fresh piga pale msosi mixer mahaba ya kulishana, msosi umeisha mambo yakaanza . Dah watanga achana nao.

Sasa tumefika stage fulani mambo yaanze si nasikia mlango unagongwa dah kumbe bibie yule hakuingiza na viatu ndani, yule nae sijui alishtuliwa na nani yaan alianza kupiga makelele funguaaa mlango nakwambia funguaaaaa

Nikasema mama yangu leo ndo leo naona na kichwa kama kimepata ganzi+kizunguzungu na mtaani pale wanavyonichulia na nature yao nikasema nikasema lazima nirueshwe kwenye media

Sasa bibie yule wa ndani akawa analia tu huku ananilaumu, ikabidi nimtulize nikamwambia huyu boya najua nitakavyomdhibiti usijali, ila nilimualert kwamba pindi nitakapomdhibiti itabidi yeye atafute njia akimbie yaani!

Basi mda huo nikamchek mshikaj wang wa boda nikamwambia aje chap nimezingua jamaa kweli akakubali. Sasa nikasema nifungue tu mlango huku tunavutana na yule bibie hataki nifungue anaogopa atapigwa yule wa nje anagonga kwa hasira tu huku anatukana mitusi.

Nikamwambia yule bibie shika viatu vyako mimi naenda kukabiliana nae mda huo jamaa yangu ananiambia amefika amekuta watu kibao nje nikapata nguvu nikafungua mlango. Ile nafungua mlango wakuu yule bibie mzaramo hakutaka kuhangaika na mimi akataka kwenda kumvaa bibie wa watu nilichofanya nikambana kwa nguvu kwa nyuma mikono nimepitisha kwenye kiuno kukuru kakara nyingiii nikamwambia yule bibie kimbia sasa wewee. Aiseee alitoka ndukiii akawahi bodaboda mshaleeeeee.... nimemuachia yule bibie akaanza kunipiga mibao dah mwisho wa siku akakaa chini analia tu.

Dah mim nikazama ndani nikavaa viatu nikaamsha kwa mwangu. Yule bibie wa kitanga akanichek usiku ananipa pole nilishangaa sana, na mim nikampa pole. Kwa jamaa yangu Nimekaa kama siku tatu nikasema pale sikai lazima nihame.

Yule bibie wa kizaramo nilimtumia msg nikamwambia anisamehe hata kama tukiachana poa Lakini msamaha wake ni muhimu akanijibu amenisamehe ila hatosahau kwa nilichomfanyia.

Dah ishort sitosahau kilichotokea but bibie wa kitanga nilikuja kumdinya na wa kizaramo huwa tunakumbushia mara moja moja japo wote wameshaolewa.
 
balaa zito mkuu.

Mimi nakumbuka nilishawah kuwa na pisi moja hivi ya kizaramo iliwahi kunikubali kinoma kwasababu ya show.

Ile pisi ilihamia hadi geto, tulikuwa tunapeana show like tunacheza porn ni show za kukata na shoka+wet f**ck mpaka ndugu zangu wakaanza kumfahamu.

Sasa kuna siku nipo narudi mishe nikakutana na manzi moja kali sana ya kitanga kituo cha daladala nikamchombeza stor za hapa na pale+kugombania gari pamoja nikamuwahia seat tukakaa piga stor nikamuachia mawasiliano.

Sasa tuliwasiliana baadae akaniahidi weekend atakuja kupajua geto, sasa jumamos mim huwa nawah kurud job kwahyo hatukukutana ila aliniambia kesho yake akiwa anajiandaa kuja atanichek.

Kweli kesho yake mapema tu asubuhi akanitaarifu, nikampanga bibie wa kizaramo kwamba jumapili sipo so asije akasema poa. Dah kisanga ndo kilipoanzia hapo

Bibie yule wa kitanga akaja nikamchek boda boda wangu mmoja hivi pale kituoni aniletee my new kimwana wangu aje anipe mambo ya kitanga mwanangu wa boda hakuniangusha akaniletea mpaka mlangoni.

Tumeingia ndani mtoto akarekebisha diko fresh piga pale msosi mixer mahaba ya kulishana, msosi umeisha mambo yakaanza . Dah watanga achana nao.

Sasa tumefika stage fulani mambo yaanze si nasikia mlango unagongwa dah kumbe bibie yule hakuingiza na viatu ndani, yule nae sijui alishtuliwa na nani yaan alianza kupiga makelele funguaaa mlango nakwambia funguaaaaa

Nikasema mama yangu leo ndo leo naona na kichwa kama kimepata ganzi+kizunguzungu na mtaani pale wanavyonichulia na nature yao nikasema nikasema lazima nirueshwe kwenye media

Sasa bibie yule wa ndani akawa analia tu huku ananilaumu, ikabidi nimtulize nikamwambia huyu boya najua nitakavyomdhibiti usijali, ila nilimualert kwamba pindi nitakapomdhibiti itabidi yeye atafute njia akimbie yaani!

Basi mda huo nikamchek mshikaj wang wa boda nikamwambia aje chap nimezingua jamaa kweli akakubali. Sasa nikasema nifungue tu mlango huku tunavutana na yule bibie hataki nifungue anaogopa atapigwa yule wa nje anagonga kwa hasira tu huku anatukana mitusi.

Nikamwambia yule bibie shika viatu vyako mimi naenda kukabiliana nae mda huo jamaa yangu ananiambia amefika amekuta watu kibao nje nikapata nguvu nikafungua mlango. Ile nafungua mlango wakuu yule bibie mzaramo hakutaka kuhangaika na mimi akataka kwenda kumvaa bibie wa watu nilichofanya nikambana kwa nguvu kwa nyuma mikono nimepitisha kwenye kiuno kukuru kakara nyingiii nikamwambia yule bibie kimbia sasa wewee. Aiseee alitoka ndukiii akawahi bodaboda mshaleeeeee.... nimemuachia yule bibie akaanza kunipiga mibao dah mwisho wa siku akakaa chini analia tu.

Dah mim nikazama ndani nikavaa viatu nikaamsha kwa mwangu. Yule bibie wa kitanga akanichek usiku ananipa pole nilishangaa sana, na mim nikampa pole. Kwa jamaa yangu Nimekaa kama siku tatu nikasema pale sikai lazima nihame.

Yule bibie wa kizaramo nilimtumia msg nikamwambia anisamehe hata kama tukiachana poa Lakini msamaha wake ni muhimu akanijibu amenisamehe ila hatosahau kwa nilichomfanyia.

Dah ishort sitosahau kilichotokea but bibie wa kitanga nilikuja kumdinya na wa kizaramo huwa tunakumbushia mara moja moja japo wote wameshaolewa.
au yule yule boda aliuza siri,maana mademu wanachukua namba za boda wako kama informer
 
balaa zito mkuu.

Mimi nakumbuka nilishawah kuwa na pisi moja hivi ya kizaramo iliwahi kunikubali kinoma kwasababu ya show.

Ile pisi ilihamia hadi geto, tulikuwa tunapeana show like tunacheza porn ni show za kukata na shoka+wet f**ck mpaka ndugu zangu wakaanza kumfahamu.

Sasa kuna siku nipo narudi mishe nikakutana na manzi moja kali sana ya kitanga kituo cha daladala nikamchombeza stor za hapa na pale+kugombania gari pamoja nikamuwahia seat tukakaa piga stor nikamuachia mawasiliano.

Sasa tuliwasiliana baadae akaniahidi weekend atakuja kupajua geto, sasa jumamos mim huwa nawah kurud job kwahyo hatukukutana ila aliniambia kesho yake akiwa anajiandaa kuja atanichek.

Kweli kesho yake mapema tu asubuhi akanitaarifu, nikampanga bibie wa kizaramo kwamba jumapili sipo so asije akasema poa. Dah kisanga ndo kilipoanzia hapo

Bibie yule wa kitanga akaja nikamchek boda boda wangu mmoja hivi pale kituoni aniletee my new kimwana wangu aje anipe mambo ya kitanga mwanangu wa boda hakuniangusha akaniletea mpaka mlangoni.

Tumeingia ndani mtoto akarekebisha diko fresh piga pale msosi mixer mahaba ya kulishana, msosi umeisha mambo yakaanza . Dah watanga achana nao.

Sasa tumefika stage fulani mambo yaanze si nasikia mlango unagongwa dah kumbe bibie yule hakuingiza na viatu ndani, yule nae sijui alishtuliwa na nani yaan alianza kupiga makelele funguaaa mlango nakwambia funguaaaaa

Nikasema mama yangu leo ndo leo naona na kichwa kama kimepata ganzi+kizunguzungu na mtaani pale wanavyonichulia na nature yao nikasema nikasema lazima nirueshwe kwenye media

Sasa bibie yule wa ndani akawa analia tu huku ananilaumu, ikabidi nimtulize nikamwambia huyu boya najua nitakavyomdhibiti usijali, ila nilimualert kwamba pindi nitakapomdhibiti itabidi yeye atafute njia akimbie yaani!

Basi mda huo nikamchek mshikaj wang wa boda nikamwambia aje chap nimezingua jamaa kweli akakubali. Sasa nikasema nifungue tu mlango huku tunavutana na yule bibie hataki nifungue anaogopa atapigwa yule wa nje anagonga kwa hasira tu huku anatukana mitusi.

Nikamwambia yule bibie shika viatu vyako mimi naenda kukabiliana nae mda huo jamaa yangu ananiambia amefika amekuta watu kibao nje nikapata nguvu nikafungua mlango. Ile nafungua mlango wakuu yule bibie mzaramo hakutaka kuhangaika na mimi akataka kwenda kumvaa bibie wa watu nilichofanya nikambana kwa nguvu kwa nyuma mikono nimepitisha kwenye kiuno kukuru kakara nyingiii nikamwambia yule bibie kimbia sasa wewee. Aiseee alitoka ndukiii akawahi bodaboda mshaleeeeee.... nimemuachia yule bibie akaanza kunipiga mibao dah mwisho wa siku akakaa chini analia tu.

Dah mim nikazama ndani nikavaa viatu nikaamsha kwa mwangu. Yule bibie wa kitanga akanichek usiku ananipa pole nilishangaa sana, na mim nikampa pole. Kwa jamaa yangu Nimekaa kama siku tatu nikasema pale sikai lazima nihame.

Yule bibie wa kizaramo nilimtumia msg nikamwambia anisamehe hata kama tukiachana poa Lakini msamaha wake ni muhimu akanijibu amenisamehe ila hatosahau kwa nilichomfanyia.

Dah ishort sitosahau kilichotokea but bibie wa kitanga nilikuja kumdinya na wa kizaramo huwa tunakumbushia mara moja moja japo wote wameshaolewa.
Ha ha ha...
wee jamaa una hatari, sema ulkua na advantage ya bibie wa kitanga kua mwelewa.

Nae angepanik ingekua balaa zaidi
 
balaa zito mkuu.

Mimi nakumbuka nilishawah kuwa na pisi moja hivi ya kizaramo iliwahi kunikubali kinoma kwasababu ya show.

Ile pisi ilihamia hadi geto, tulikuwa tunapeana show like tunacheza porn ni show za kukata na shoka+wet f**ck mpaka ndugu zangu wakaanza kumfahamu.

Sasa kuna siku nipo narudi mishe nikakutana na manzi moja kali sana ya kitanga kituo cha daladala nikamchombeza stor za hapa na pale+kugombania gari pamoja nikamuwahia seat tukakaa piga stor nikamuachia mawasiliano.

Sasa tuliwasiliana baadae akaniahidi weekend atakuja kupajua geto, sasa jumamos mim huwa nawah kurud job kwahyo hatukukutana ila aliniambia kesho yake akiwa anajiandaa kuja atanichek.

Kweli kesho yake mapema tu asubuhi akanitaarifu, nikampanga bibie wa kizaramo kwamba jumapili sipo so asije akasema poa. Dah kisanga ndo kilipoanzia hapo

Bibie yule wa kitanga akaja nikamchek boda boda wangu mmoja hivi pale kituoni aniletee my new kimwana wangu aje anipe mambo ya kitanga mwanangu wa boda hakuniangusha akaniletea mpaka mlangoni.

Tumeingia ndani mtoto akarekebisha diko fresh piga pale msosi mixer mahaba ya kulishana, msosi umeisha mambo yakaanza . Dah watanga achana nao.

Sasa tumefika stage fulani mambo yaanze si nasikia mlango unagongwa dah kumbe bibie yule hakuingiza na viatu ndani, yule nae sijui alishtuliwa na nani yaan alianza kupiga makelele funguaaa mlango nakwambia funguaaaaa

Nikasema mama yangu leo ndo leo naona na kichwa kama kimepata ganzi+kizunguzungu na mtaani pale wanavyonichulia na nature yao nikasema nikasema lazima nirueshwe kwenye media

Sasa bibie yule wa ndani akawa analia tu huku ananilaumu, ikabidi nimtulize nikamwambia huyu boya najua nitakavyomdhibiti usijali, ila nilimualert kwamba pindi nitakapomdhibiti itabidi yeye atafute njia akimbie yaani!

Basi mda huo nikamchek mshikaj wang wa boda nikamwambia aje chap nimezingua jamaa kweli akakubali. Sasa nikasema nifungue tu mlango huku tunavutana na yule bibie hataki nifungue anaogopa atapigwa yule wa nje anagonga kwa hasira tu huku anatukana mitusi.

Nikamwambia yule bibie shika viatu vyako mimi naenda kukabiliana nae mda huo jamaa yangu ananiambia amefika amekuta watu kibao nje nikapata nguvu nikafungua mlango. Ile nafungua mlango wakuu yule bibie mzaramo hakutaka kuhangaika na mimi akataka kwenda kumvaa bibie wa watu nilichofanya nikambana kwa nguvu kwa nyuma mikono nimepitisha kwenye kiuno kukuru kakara nyingiii nikamwambia yule bibie kimbia sasa wewee. Aiseee alitoka ndukiii akawahi bodaboda mshaleeeeee.... nimemuachia yule bibie akaanza kunipiga mibao dah mwisho wa siku akakaa chini analia tu.

Dah mim nikazama ndani nikavaa viatu nikaamsha kwa mwangu. Yule bibie wa kitanga akanichek usiku ananipa pole nilishangaa sana, na mim nikampa pole. Kwa jamaa yangu Nimekaa kama siku tatu nikasema pale sikai lazima nihame.

Yule bibie wa kizaramo nilimtumia msg nikamwambia anisamehe hata kama tukiachana poa Lakini msamaha wake ni muhimu akanijibu amenisamehe ila hatosahau kwa nilichomfanyia.

Dah ishort sitosahau kilichotokea but bibie wa kitanga nilikuja kumdinya na wa kizaramo huwa tunakumbushia mara moja moja japo wote wameshaolewa.
Kuna namna ulichomwa na majiran zako Kama ulkua unaishi nyumba au mtaa wa watu wengi
 
Nliwaambia sasa mshafahamiana, ebu ondokeni nataka kulala.
Mmoja ndo ilikuwa mwisho wa kumuona siku hizi uwa naona picha zake insta tu kapendeza anakula neema za Mungu ana pesa na biashara zake yuko mbali na TZ hii.
Hapo ndipo uwa nakumbuka saa nyingine Mungu anakuokoa na wewe kwa muda huo unahisi umepata mkosi. Maana angekaa na mimi huenda angekuwa ashapauka
Ha ha ha.....
Kwaiyo binti alichagua Njia iliyosahii kabisa
 
Miaka ya nyuma kabla sijaoa nlikua na binti mmoja mlokole Kwny mahusiano.

Sasa ikawa kila akija kwangu kunifanyia usafi na kunipikia anakuja na shoga ake wa kike mrembo sana,
Sasa Shoga yake uyu alkua anapenda kuangalia mikanda ya Kanumba maana kila CD mpya ikitoka lazima nilikua nayo

Sasa Shoga mtu Kuna Siku alkua anakuja peke ake bila hata mpnz Wang, afu ukaaji wake seblen ulkua unanipa tabu Sana.

Kuna Siku nikamjaribu akakubali na nikawa namega tunda wote wawili, ila ratiba tofauti tofauti pale pale home..

Ila shoga mtu nikamlaghai kwamba anivumilie namtaftia kisa mpnz wang nimuache niendelee na yeye TU, akasema sawa ananisubiria nikipate kisa nimuache.

Kisa no.1
Kuna Siku usiku mpnz Wang Kaja gafla usiku kanigongea, nikamchukua uyu nikamficha uvungun. Alipoingia kanikiss dkk cache Kisha akabeba vyombo vyake alivyoniletea chakula akaondoka navyo kwao, Kisha tukaendelea na uyu shoga mtu mpk asbh. Hakugundua kitu kabisa.

Kisa No.2
Kuna Siku Niko na shoga mtu tuko uchi tunafanya, nikaskia geti linafunguliwa, haraka nikamficha kabatini.
Kumbe mpnz Wang Kaja na nyege zake nae anataka tufanye.
Nikamwambia Basi tukaoge Kwanza, nimkavua tukaingia bafun kuoga, Kisha nkamwambia ngoja nkafunge geti vizur na mlango wa sebleni Kuna wez mtaani kwetu skuhz. Akakubali
Nikarud haraka nikamtoa uyu kabatini aondoke, nguo zake alikwenda kuzivalia kwny choo Cha nje kisha akaondoka zake.
Uyu hakugundua kitu kabisa.

Kisa Cha 3,
Kuna Siku asbh niko dukan, shoga mtu kanambia ananyege tukafanye. Nkamwambia tukutane home nakuja sahv.
Nikawaaga vijana natoka naenda home Mara Moja narud, Basi nikaenda mshughulikia shoga mtu.

Katikati ya tukio, kumbe mpnz wang katoka kanisani kwao nae Kapitia kunijulia Hali dukan kwangu kaambiwa nmeenda nyumban kwangu Mara moja.
Kanisubiria kaona sitokei,hivyo kaamua Kuja nyumban mwnyw.

Sasa kosa nililolifanya siku iyo geti liliegeshwa TU na wote tukasahau kuingiza viatu ndani, yaan kakuta viatu vyangu na sendoz za shoga ake mlangon sebleni na tumejifungia kwa ndani. Afu mziki mkubwa unapiga ndani na taa ya chumban kwangu imewashwa.

Kaja kunigongea dirishan chumban, nikagoma kufungua.
Kapiga sim hatupokei simu zote nmeziweka silent mode. Kaanza kurusha Maneno dirishani anauhakika kwamba Niko na shoga ake mle ndani tunafanya mapenz

Nikajisemea uyu mpk aondoke ndo ntatoka nje. Najua hawez kulala hapa ataondoka TU.
Basi Tumekaa mle ndan karibu Masaa 3 nje kote kuko kimya, nkamwabia uyu.
"Wee toka nje ashaondoka uyu, kavumilia mpk kashindwa. Nilikwambia dawayake Ni Iyo TU." Uyu kafurahi tumecheka tumekiss.

Uyu kavaa,nmefungua mlango katoka nje, nmemsindikiza ile nmefika getini mpenz wang uyu apa nae anatokea kwny kibanda Cha mlinzi. Kumbe alijificha humo MDA wote ule katulia tu.

Vurugu Kali Sana ikaibuka pale,
nikawaachanisha shoga mtu kakimbia kipigo, mpnz wangu kabaki na Mimi.
Aisee alinipiga makofi kadhaa uku analia nikashindwa hata kujibu mapigo nikawa mpole, kisha nikamkumbatia.

Nikambeba Nikampeleka ndani, nikambembeleza hataki kuelewa.

Basi nikaona Ujinga huu, nabembeleza mtu gani uyu haelewi, liwalo na liwe mi naondoka zangu bhana. Nkarud zangu dukan

Cha ajabu nikarud jion nikamkuta, chakula keshapika.
Kanipakulia Nikala bila hata kumsemesha, Kisha nikaenda kulala nikitegemea na yeye ataenda kwao.

Cha ajabu nikaona kaingia kuoga Kisha nae kaja kulala uchi, nikaona Ujinga huu hebu hii kesi niimalize hapa hapa.

Nikamtekenya nikaona kalainika, tukafanya kila mtu kimya kimya. Kibubu bubu.
Baada ya tendo ananiuliza kwann nilimsaliti MDA ule kwa shoga ale.

Nikamwambia,
"Nisamehe Sana mpnz Wang, yaan hata mm mwnyw sielewi ilikuaje kuaje. Ndo maana at ulivyonipiga makofi nilishindwa kujibu nn kimetokea MDA ule. Yaan pale ndo akili zilirudi kwamba nmekukosea"

Akauliza,
"Una maana gan kusema vile"

Nikajibu,
"Haiingii akilini Eti nikatembea na mwanamke mbovu Kama yule, Hivi nakosa Nini kwako, sio sura Wala umbo hakufikii kwa lolote. Mpka najishangaa. Sio bure mpnz wangu atakua kaniroga yule. Ile sio akili yangu kabisa NAKATAA"

Akasema,
"Ndo muangalie wanawake wa kutembea nao, yule Bibi yake anafuga mipaka KIBAO. Huenda Ni kweli amekuroga. Najuta kwanza kwann amekufahamu maana tangu tunasoma wote nilikuaga naskia wanasema Bibi yake mchawi kabisa"

Nikamjibu,
"Kwakweli atakua Ni mchawi Sana mi mwnyw nmeona, ila Nisamehe Sana mpnz Wang. Naomba uniombee sn my love "

Akasema,
"Nakuombea ila na Wewe ujiombee MUNGU akuepushe na majaribu Kama haya, uyu shoga angu mchawi sana wewe TU ndo ulikua ujui"

Basi tukamaliza hivyo,
Ila Sasa yule shoga ake hatukuja kuacha kulalana, Sasa baada ya hapo venue ikahamia guest houses na lodge tunaenda kufanya ila kwa tahadhar kubwa sana tusije kubambwa Tena.

Nilikuja kuachana nao wote miaka 2 mbele, mlokole wangu uyu alikwenda masomoni nje ya nchi. Afu yule shoga mtu nae akaenda kuolewa mkoani uko (dodoma).

Dah! Haya maisha bhana
Ila Wachawi wanasingiziwa mengi,

Sema ulokole wa mpenz wangu yule uliniokoa kwny kesi, Aliamini mno uchawi Hadi kwny vitu vya kijinga kabisa Kama vile
Yaani kumbe tunaoa makombo sisi
 
Kisa kingine nilichogonganisha magari,

Kipind bado sijaoa,
Nikaja kua na mahusiano na binti mmoja alikua anasomea uhasibu kule mkoani (Arusha). Kiukweli binti yule kweli nlikua nampenda sana na nilipanga aje awe mama watoto wangu siku za usoni.

Sasa kutokana na ukame,
Shetan akaja akanipitia nikaangukia mikononi mwa BINTI mmoja anasubiria ajira za serikali pale mtaani kwetu kwao wanafuga ng'ombe wa maziwa. Kwaiyo alikua ananiletea maziwa ya bill kila siku Jion nikisharudi au asbh Sana kabla sijaenda dukan kwangu.
Nikaanza kupita nae kimya kimya .
Sema sikumwambia kwamba nna mtu mwngn tayar.

Sasa Kuna Siku mchumba wangu uyu karudi likizo kafikia kwangu, tukiwa ndani tunafanya yetu ikasikika geti linafunguliwa, Kisha hodi sebleni inagongwa.
Nikauliza "Nani?" ikajibiwa saut ya mtoto mdg kwamba "maziwa" . Nikajua apa usalama ile sauti Ni ya kitoto Cha kwao yule BINTI kimeleta maziwa.

Nikamwabia mwanamke wangu akayachukue maziwa, Basi akachukua na akayapelea MoJa jikon tukandelea kufanya yetu.

Haukupita MDA mrefu Sana tuko tunafanya,
Ikasikika tena geti linasukumwa na hodi nyngn Tena seblen inagongwa, nikauliza "Nani?" kitoto kikaitikia "maziwa"
Nkamwambia mpnz Wang, kamsikilize uyo mtoto anashida gani. Akanambia wee nenda bhana ndo mwenyeji.nikasema POA.

Basi nikavalia boksa na taulo tu nikaenda kufungua, ile nmefungua nikasukumwa kwa ndani, akaelekea chumban Moja kwa moja Kisha nikamfata uko uko. Ile kafika kaanza kulia afu naulizwa "uyu Ni Nani?"

Nikaona hapa,
nikijifanya nabalance kote kote apa nakosa vyote. Apa niangalie upande wa mpenz wang kwa manufaa.

Nikamjibu, "unaniuliza hivyo wewe Kama Nani?"

Akasema, "nakuuliza Kama mpenz wako"

Nikamjibu, "mpenz wako tangu lini? Hivi una akili nzur kweli wewe mwanamke? Au umetumwa?"

Mpenz wangu nae akauliza
"Dp kwani uyu Ni Nani?"

Nikamjibu,
"Mi mwnyw simjui mpnz wang, nashangaa ananiparamia uyu Sijui katumwa na Nani? "

Binti akadakia,
"Dp Hivi wewe wa kunifanyia Hivi kisa hiki kinyago chako umekileta umu ndani?" Uku anaelekea kumkaba Koo na kumpiga makofi.

Aisee wakaanza kukabana,
nikaona Ujinga huu. Nikamtenganisha Kisha nikamzaba makofi mawili ya kushiba shavu la kushoto na la kulia akamuachia koo.

Nikamburuza kwamba atoke kwangu simtambui Mimi, akalia Sana nnachomfanyia sema nikawa serious nikamtoa nje na makofi kibao nikamtupa kwa nje ya geti.nimefura hasira. Kisha nikafunga geti.

Ile nmerud ndani nmenuna,
Uyu nae akaniamshia kesi upya,
"NATAKA uniambie ukweli yule alikua Nani yako? Vinginevyo hapa hapakaliki"

Nikamwambia kwa ukali sana,
"Na Wewe usiniletee huo upumbavu wako Kama umenichoka uniambie tuachane kwa amani sio kunitengenezea mafumanizi feki na kunitumia wanawake hawaeleweki hapa kwangu kuja kunidhalilisha"

Nikaongezea,
"Ifike MDA huu upumbavu mkafanyiane uko na wapumbav wenzenu. Hivi Mimi na heshima zangu naanzaje kutembea na wanawake wabovu na wachafu wachafu Kama wale na wananuka nuka maziwa mwili mzima, hebu tuheshimiane. Tena ukome kabisa kunijaribu. Sijaribiwi mimi"

Akasema,
"Aaah Lazima niulize, maana yule Ni mtu mzima na alikua serious, usitake kujifanya humjui kisa mimi"

Nikamjibu,
"Aisee Kama na Wewe unaungana na yule kichaa wako naomba uondoke apa kwangu haraka sana kabla sijakufanya kitu kibaya. Sitaki upumbavu kwangu" huku nae namburuza kumtoa chumba kumleta sebleni ili aondoke,nae nikamtupia mkoba na mtandio wake chini uko sebleni.

Akaanza kua mpole,
"Basi sawa nmekuelewa, turudi chumban kwanza, unaniburuza unaniumiza bhana"

Nikamjibu,
"Umeyataka mwnyw, huwez kuniletea watu wa hovyo kwangu kisha nikuvumilie"

Akasema,
"Subir bhana, wee unavyonifikiria ndivyo sivyo mwenZio"

Nikamwambia,
"Sitaki kuskia chochote kinahusika na hili suala kwa Sasa,Wee na yule mpumbavu wako mmenivuruga akili yangu kabisa leo, siko sawa kabisa" uku nmenuna balaa.

Akasema, "Aya, Basi yaishe"

Kesi nikawa nmeimaliza hivyo,
Ila Sasa baada ya hapo, Yule binti baada ya siku 2 nikaja kutana nae njiani nikamwambia nna maongez na yeye akasema nimuache.

Nikamwambia nishakuacha mda Wala Sina MDA na wewe Niko kwny mahusiano mengine, maongez yanahusu vitu vingine kabisa na sio mapenz na wewe.

Akakubali ila kwamba tukutane baa na sio kwangu Wala lodge. Nikakubali.

Ile tumefika baa nikamwambia twende lodge nikakukabudhi vitu vyako vyote tulivyopeana tuachane kwa amani, mahusiano aya yafe rasmi. Akakataa ila baadae akakubali.

Aisee alivyofika lodge,
Hakukua na kitu chochote Wala Nini, Tukaishia kusex na tukarudiana tena.

Ila baada ya kusex nikamwambia na yeye alichokosea ni kuja kwangu bila taarifa, afu yule Ni MKE wangu kabisa na siku ile wake zangu walikuemo ndani. Akalalamika ila akakubali ule uwongo wangu.
Na akasema kabla hajaja atakua ananiparamia taarifa. Nikasema sawa.

Nikawa namega wote, kabla hajaja anaambia kwamba aje au aache.

Ila Baadae sasa uyu binti alikuja kupata KAZI Zanzibar, umbali ukatuachanisha kabisa.

Uyu wa uhasibu Arusha,
Tulikuja kuachana aliponifumania na mwanamke mwingine Mara ya pili Niko Coco Beach kwny gar tunafanya mapenz.

Na kwasababu tayar nilishamtoa moyoni hata sikuangaika nae, Aliposema tuachane nikasema "POA" ikawa imeisha hivyo.
Ila kaka mkubwa ww ni uhuni umeanza zamani sana

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom