OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,242
- 103,943
Kipindi fulani nilikuwa Moshi kikazi nikabanwa na ukame nikaanza msako. Karibu na kazini kulikuwa na mawakala wa mpesa wazuriiii matoto mawili ya kichaga kwenye duka moja. Nikapambana nikapata namba ya Pisi A,nikamkomalia akaja mpaka hotel. Nikaweka mitego ya kula kimasihara akachomoa ananiambia nimtongoze kwanza 🤣🤣🤣
Nikamwambia sawa basi naanza kukutongoza...nikampa mistari bado akakataa kuliwa, anasema umenitongoza inabidi unipe muda nikufikirie. Pumbaaaavu. Akaja hotel kama mara 2 hivi zote akanikazia,habati mbaya mimi huwa ziwezi ku force mwanamke. Tukapiga stori akasepa.
Kesho yake ilikuwa J2 yule pisi A haendi job ila pisi B nikamkuta Mpesa. Nikamtania tania pale,nikampa business card. Aiseee huyu alikuwa na moto,tukachat sana mwisho akaniambia nimtoe out.🤣🤣. Nikamwambia mji una baridi saba uje hotel kwangu tujifungie room unywe ule unachotaka. Nikamtajia hotel na room namba na kila kitu.
Saa 12 Pisi B ikanisihi nisiiangushe imeshajiandaa. Daaa mwanangu ilipofika saa 1 nasikia mlango unagongwa,nikajua Pisi B ndani ya nyumba. Kufungua nakutana na Pisi A inaingia bila kukaribishwa...Kichwa kikawaka moto 🤣🤣🤣🤣. Nikaanza kuichana mbona umekuja bila taarifa.eti ooh hapa ni kwa mpenzi wangu sio lazima nitoe taarifa. Daaah nikajisemea hili toto puuuzi kweli kwanza mbususu linanibania.
Kidogo tu Pisi B inapiga simu ipo reception inasema mhudumu kamzuia awasiliane kwanza na mimi( mhudumu aliona aniokoe maana alishtukia nitagonganisha magari 🤣🤣🤣)
Nikaiacha Pisi A pale room ikichezea simu,nikatoka nje kupambana. Nikaitoa Pisi B nje kwenye viti niipange. Ikaanza kunikoromea twende tukaongelee ndani,halafu kwa nini sijampa taarifa mhuduma kama anakuja. Hapo wakuu jasho linanitoka balaa.
Nikamtanganya mama yangu mdogo ana Corona yupo ICU kwa hiyo inabidi niende benki niwatumie pesa ndo maana siko sawa.
Huku Pisi A kule anapiga simu kujua kama nimemkimbia. Hakuwa na jinsi maana nilikuwa nimemfungia. Sasa huku Pisi B akang'ania nimuache room nitamkuta.
Nikiwa naamini kabisa hawa watoto wamepanga mchezo waniaibishe, nikamuacha pale nje nikaamua kusepa mitaani na boda kama naelekea ATM
Kumbe huku nyuma Pisi B alipoona mhuduma amekuwa busy akaenda room kwangu kagonga ili kujionea kama nina demu mle au nina shida kweli. Alivyogonga mwenzie ndani akaitika akinua ni mimi "Wewe umesahau kama umeondoka na fungua". Pisi B ikawa imehisi ile sauti ni ya mwenzie ikabidi imsemeshe hawakuelewana vizuri ikabidi impige simu yake,ikasikia simu inaita chumbani 🤣🤣🤣🤣
Basi ikawa imeishiwa pozi itaamua kusepa tu. Mhudumu aliponipa taarifa ameondoka nikarudi najisikia aibu balaa,daah hivi mimi ndo nishakuwa malaya hivi mpaka nagonganisha mademu 😌😌😌😌
Kwa hiyo nikabidi nimchane ukweli Pisi A kwamba yeye na kunibania ndio kasababisha yote hayo. Mimi nilikuwa na ukame uliofika hatua mbaya sasa yeye hakuwa tayari kunisaidia.
Ikanilaumu sana na kuniona malaya,ikanitaka nifute namba yake na nisimtafute tena. Nikamwambia isiwe taabu,chukua simu futa kila kitu chako humu. Ikawa End of Story na Pisi A.
Alipoondoka tu nikampigia Pisi B,ikasema haiko mbali imeamua kulewa kupunguza mawazo kwa jinsi nilivyonfanyia. Nikamkuta pale nikamuomba msamaha na kumpa ukweli woote.
Ikaniambia achana na yule mtoto mdogo,twende ukanifaidi mpaka asubuhi mpaka ukinai mwenyewe 😋😋😋😋😋
.....to be continued
Nikamwambia sawa basi naanza kukutongoza...nikampa mistari bado akakataa kuliwa, anasema umenitongoza inabidi unipe muda nikufikirie. Pumbaaaavu. Akaja hotel kama mara 2 hivi zote akanikazia,habati mbaya mimi huwa ziwezi ku force mwanamke. Tukapiga stori akasepa.
Kesho yake ilikuwa J2 yule pisi A haendi job ila pisi B nikamkuta Mpesa. Nikamtania tania pale,nikampa business card. Aiseee huyu alikuwa na moto,tukachat sana mwisho akaniambia nimtoe out.🤣🤣. Nikamwambia mji una baridi saba uje hotel kwangu tujifungie room unywe ule unachotaka. Nikamtajia hotel na room namba na kila kitu.
Saa 12 Pisi B ikanisihi nisiiangushe imeshajiandaa. Daaa mwanangu ilipofika saa 1 nasikia mlango unagongwa,nikajua Pisi B ndani ya nyumba. Kufungua nakutana na Pisi A inaingia bila kukaribishwa...Kichwa kikawaka moto 🤣🤣🤣🤣. Nikaanza kuichana mbona umekuja bila taarifa.eti ooh hapa ni kwa mpenzi wangu sio lazima nitoe taarifa. Daaah nikajisemea hili toto puuuzi kweli kwanza mbususu linanibania.
Kidogo tu Pisi B inapiga simu ipo reception inasema mhudumu kamzuia awasiliane kwanza na mimi( mhudumu aliona aniokoe maana alishtukia nitagonganisha magari 🤣🤣🤣)
Nikaiacha Pisi A pale room ikichezea simu,nikatoka nje kupambana. Nikaitoa Pisi B nje kwenye viti niipange. Ikaanza kunikoromea twende tukaongelee ndani,halafu kwa nini sijampa taarifa mhuduma kama anakuja. Hapo wakuu jasho linanitoka balaa.
Nikamtanganya mama yangu mdogo ana Corona yupo ICU kwa hiyo inabidi niende benki niwatumie pesa ndo maana siko sawa.
Huku Pisi A kule anapiga simu kujua kama nimemkimbia. Hakuwa na jinsi maana nilikuwa nimemfungia. Sasa huku Pisi B akang'ania nimuache room nitamkuta.
Nikiwa naamini kabisa hawa watoto wamepanga mchezo waniaibishe, nikamuacha pale nje nikaamua kusepa mitaani na boda kama naelekea ATM
Kumbe huku nyuma Pisi B alipoona mhuduma amekuwa busy akaenda room kwangu kagonga ili kujionea kama nina demu mle au nina shida kweli. Alivyogonga mwenzie ndani akaitika akinua ni mimi "Wewe umesahau kama umeondoka na fungua". Pisi B ikawa imehisi ile sauti ni ya mwenzie ikabidi imsemeshe hawakuelewana vizuri ikabidi impige simu yake,ikasikia simu inaita chumbani 🤣🤣🤣🤣
Basi ikawa imeishiwa pozi itaamua kusepa tu. Mhudumu aliponipa taarifa ameondoka nikarudi najisikia aibu balaa,daah hivi mimi ndo nishakuwa malaya hivi mpaka nagonganisha mademu 😌😌😌😌
Kwa hiyo nikabidi nimchane ukweli Pisi A kwamba yeye na kunibania ndio kasababisha yote hayo. Mimi nilikuwa na ukame uliofika hatua mbaya sasa yeye hakuwa tayari kunisaidia.
Ikanilaumu sana na kuniona malaya,ikanitaka nifute namba yake na nisimtafute tena. Nikamwambia isiwe taabu,chukua simu futa kila kitu chako humu. Ikawa End of Story na Pisi A.
Alipoondoka tu nikampigia Pisi B,ikasema haiko mbali imeamua kulewa kupunguza mawazo kwa jinsi nilivyonfanyia. Nikamkuta pale nikamuomba msamaha na kumpa ukweli woote.
Ikaniambia achana na yule mtoto mdogo,twende ukanifaidi mpaka asubuhi mpaka ukinai mwenyewe 😋😋😋😋😋
.....to be continued