Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,977
- 32,546
African
Mimi nilisimamishwa shule nikiwa form two kwa muda wa wiki mbili kule Iringa, shule ipo karibu na Lugalo ile ya Serikali jirani yake kuna shule ya private.
Nilisimamishwa kwa kosa la kumtukana mtu mbele ya darasa, mwalimu mmoja maarufu kwajina la Uhuchu alisikia kelele Class baada ya kuja akawa anatafutwa alieanza class wote wakasema mimi wakamtetea yule mpumbavu Zamwamwa, nilichukia sana.
Alianza nitukania mama yangu na mimi nikamjibu so nilichezea sana stiki nikaandikishwa barua kila ofisi nilikopelekwa walimu walikuwa hawaamini kama ndio mimi nimeanza tukana akaitwa mzazi wangu, akaja pale alipofika kapewa short story akaanza kulia, alikuwa ni mama kalia pale huku nachapwa.
Uhuchu huku akikazania kuwa huyu lazima afukuzwe shule, dah nilichukia sana.
Wewe mwezangu ulifanya kosa gani?
Mimi nilisimamishwa shule nikiwa form two kwa muda wa wiki mbili kule Iringa, shule ipo karibu na Lugalo ile ya Serikali jirani yake kuna shule ya private.
Nilisimamishwa kwa kosa la kumtukana mtu mbele ya darasa, mwalimu mmoja maarufu kwajina la Uhuchu alisikia kelele Class baada ya kuja akawa anatafutwa alieanza class wote wakasema mimi wakamtetea yule mpumbavu Zamwamwa, nilichukia sana.
Alianza nitukania mama yangu na mimi nikamjibu so nilichezea sana stiki nikaandikishwa barua kila ofisi nilikopelekwa walimu walikuwa hawaamini kama ndio mimi nimeanza tukana akaitwa mzazi wangu, akaja pale alipofika kapewa short story akaanza kulia, alikuwa ni mama kalia pale huku nachapwa.
Uhuchu huku akikazania kuwa huyu lazima afukuzwe shule, dah nilichukia sana.
Wewe mwezangu ulifanya kosa gani?