Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,440
- 14,237
Hapa namaanisha kwa wale wanafunzi tuliobahatika kusoma shule za VIPAJI maalumu ingawa wengine wanaponda kama vile Msalato, Mzumbe, Kibaha, Tabora boys, Tabora girls, Ilboru na Kilakala.
Binafsi nimepitia Tabora boys na Ilboru. Mkuu wa Tabora Boys alikuwa Amaan Mrisho na Ilboru alikuwa Kwayu.
Binafsi nimepitia Tabora boys na Ilboru. Mkuu wa Tabora Boys alikuwa Amaan Mrisho na Ilboru alikuwa Kwayu.