Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Dkt Slaa vs "Dkt" Kikwete, vipi mechi hiyo?
Dkt Slaa=Heavy Weight "Dkt" Kikwete =feather weight,vigezo vya WBF vinakataa
Dkt Slaa vs "Dkt" Kikwete, vipi mechi hiyo?
labda hii inchi ikabidhishwe kwa jeshi
Rais wa Tanzania atatoka ndani ya CCM na si vinginevyo kwani UPINZANI Tanzania
hauna nguvu bado.Chadema wana migogoro hata kabla hawajapewa nchi wakipewa si itakuwa balaa.Nyerere alisema rais atatoka ndani ya CCM. Wapo baadhi ya viongozi ndani ya CCM wanaweza kuiongoza nchi na kubadili mwelekeo wa CCM uliopo sasa kama akina Mwakyembe etc.ambao ni wapinzani wa mambo yanayofanyika ndani ya CCM.
Niswa mwafrika...lakini JF ni kisima cha mjadala, tunajadili tulikotoka ili tusiridie kosa
Mbowe mkubwa,hivi kwa haraka nani angekuwa bora zaidi katika wote alioshindana nao kutoka upinzani?...Lipumba, Mbowe, Mrema,
Mbowe mkubwa,
Sera za chadema zipo kamili na chama chenyewe kina watu makini. Hakuna kama chadema ila tu hatutoshi kuwaweka madarakani lakini taratibu tunakwenda na tutashinda tu.
Tungemchagua ..SALIM AHMED SALIM.........
nafasi ya urais huu ilikuwa yake ..akadhulumiwa kwa kampeni chafu za maji ya taka za wanamtandao wakiwashirikisha zanzibar[na wanaojiita baraza la mapinduzi]....uchafu wa kampeni za wanamtandao na jk...zitaendelea kuwaandama wao kwani machozi ya waliochafuliwa kama kina ..malecela,kigoda,sumaye.,msuya....kitine,simba , na wengine wengi walioonekana tishio kwa mgombea wao...yataendelea kumuandama jk...kwa kufanya kiini macho watu na itazidi kumsaababishia laana...hasa kwa kufikia kutumia jina la mungu...kusema chaguo la mungu....JK anahitajika kutubu dhambi alizowafanyia wenzake ....kwa kuwaomba msamaha one in one....
Angalia pia na alioshindana nao ndani ya CCM, labda namo kuna alternative ambaye angekuwa bora kuliko yeye...pamoja na udhaifu mkubwa wa JK, hivi kwa haraka nani angekuwa bora zaidi katika wote alioshindana nao kutoka upinzani?
Kula tano mkuulabda hii inchi ikabidhishwe kwa jeshi
Mi nadhani hii nchi inatakiwa apewe dikteta mwenye vision, hakuna haja ya kupiga porojo. viongozi wetu hakuna anejua anataka afikishe nchi wapi.
Anatakiwa mtu wa style ya Kagame au Chaves
kwangu simuoni yeyote ambaye asingechemsha , nilikuwa namwamini mbowe lakini kwa haya yaliyotokea juzi kwenye uchaguzi mkuu wa chadema kanitia mashaka zaidi. hiyo CUF ndo haiko kabisa kwenye akili yangu maana huyo lipumba na mwenzie wamenichosha hata kuwaangalia kwenye Tv. na wote hawa makelele yao wanapiga huku nje wakiingia ikulu watakuwa walewale sina hata ninayemuamini bora zimwi likujuaee............................kuchagua CHADEMA akigombea urais nani? au hata CHADEMA ikiweka jiwe tuchague tu?...hata hivyo mimi naomba turejee uchaguzi wa 2005 na haya yaliyotokea ndani ya utawala wa JK....tujiulize, kwakuwa ni kweli JK kachemsha, na tunaamini tulikosea, je tungemchagua nani kati ya washindani wake wale? akina Lipumba, Mbowe, Mvungi, nk?
acheni kushabikia msiyoyajua jamaniiiii mmeshakaa nchi zinazotawaliwa na jeshi nyie au mnaleta unazi? aka ka uhuru uliko nako sasa hivi katakuwa adimuKula tano mkuu
Kinachonisikitisha ni kuwa wapondaji kama wewe huwa hampigi kura, lakini mko mstari wa mbele kama tai. Na hii ndiyo inayowagharimu walioko vyama vya upinzani. Maneno mengi lakini when it comes to kupiga kura hawaonekani............ akichaguliwa asiyempenda, analalamika kuwa kura zimeibiwa.wewe unang'ang'ania kujua nani angekuwa bora katika walioshindanishwa tu, lipumba, mbowe wote wangekuwa bora...na upande wa CCM walikuwepo watu wenye uwezo mkubwa kuongoza nchi hii...........
mimi nataka nikuulize kitu kimoja tu:
1. nini alifanya JK kikubwa kabla ya kuteuliwa kuwa mgombea katika nchi hii?
2. amefanya nini mpaka sasa kikubwa cha kujivunia? na 2010 mtamuweka tena ili aendelee kuuza zura kwa Obama.
Mimi nakubaliana na wewe, maana ukicheki utakuta vitu vikubwa na vyenye kuhitaji nguvu vilifanywa enzi za udikteta...eg Reli ya kati, Grid ya taifa. Kwa sasa kujenga vitu kama vile vinahitaji dikteta tuuuMi nadhani hii nchi inatakiwa apewe dikteta mwenye vision, hakuna haja ya kupiga porojo. viongozi wetu hakuna anejua anataka afikishe nchi wapi.
Anatakiwa mtu wa style ya Kagame au Chaves.