Kijana Mzalendo, David Levi Nkindikwa amekuja na uchambuzi wa hoja lukuki zikihusisha matashi ya Spika wa Bunge Tulia, Prof Mkumbo, Katibu Mkuu Chongolo kuhusu mkataba wa Bandari uchambuzi ambao umesambaa katika mitandao mbalimbali ikiwemo JF.
Lakini amehoji kuhusu ukimya wa Baba wa Mikataba Prof. Kabudi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusiana na Mkataba wa Bandari.
Viongozi hao wote tunaomba mjitokeze hadharani mjibu hoja za Kijana Mzalendo.
Tulia Ackson
Kitila Mkumbo
Daniel Chongolo
Baba wa Mikataba, Prof. Kabudi
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Feleshi
Lakini amehoji kuhusu ukimya wa Baba wa Mikataba Prof. Kabudi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusiana na Mkataba wa Bandari.
Viongozi hao wote tunaomba mjitokeze hadharani mjibu hoja za Kijana Mzalendo.
Tulia Ackson
Kitila Mkumbo
Daniel Chongolo
Baba wa Mikataba, Prof. Kabudi
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Feleshi