Blandina uliimbwa kati ya mwaka 1970 na 1971. Wakati huo Jamhuri Jazz ikiwa na mtindo unaitwa Dondora walioibua mara baada ya ule wa Wanyama Wakali; nadhani ulitungwa na jamaa anaitwa Mngereza, je huyo ndiye mzazi wako Bin Mngereza? Ama sivyo basi na wewe kumbe umo!Blandina - Jamhuri Jazz
Mkuu siujui huo mwimbo hebu Nipe mistari 2 mitatu kidogo
Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
Huo unaitwa ni Christina.. nadhani kuna watu wameutaja tayari hapo juuHivi huu niliichezea kamari roho yangu nakuuza utu wangu, uliimbwa na nan na jina lake Je?
Blandina uliimbwa kati ya mwaka 1970 na 1971. Wakati huo Jamhuri Jazz ikiwa na mtindo unaitwa Dondora walioibua mara baada ya ule wa Wanyama Wakali; nadhani ulitungwa na jamaa anaitwa Mngereza, je huyo ndiye mzazi wako Bin Mngereza? Ama sivyo basi na wewe kumbe umo!
Naomba lyric ya wimbo Ngalula wa Remmy Ongala.....Mwingine ni Ngalula wa Remmy Ongala...Kumradhi kama ulishatajwa hapa....